EMMANUEL AMUNIKE ATEULIWA KOCHA MKUU NIGERIA
MICHEZO
Kocha wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania Emmanuel Amunike ameteuliwa kuwa Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Nigeria .
Amunike anakwenda kuchukua nafasi ya mkufunzi JosĆ© Peseiro ambaye alingāoka kwenye kiti hicho baada ya kumalizika kwa michuano ya AFCON 2023 nchini Ivory Coast .
Kabla ya kuwa kocha, aliwahi kukipiga katika timu za Barcelona,Zamalek na Sporting Lisbon na kuiwezesha timu ya taifa ya Nigeria U17 kubeba kombe la Dunia.
Discover more from JUNIITV.ONLINE
Subscribe to get the latest posts sent to your email.