EMMANUEL AMUNIKE ATEULIWA KOCHA MKUU NIGERIA

0

0:00

MICHEZO

Kocha wa zamani wa timu ya Taifa ya Tanzania Emmanuel Amunike ameteuliwa kuwa Kocha Mkuu wa timu ya Taifa ya Nigeria .

Amunike anakwenda kuchukua nafasi ya mkufunzi JosĆ© Peseiro ambaye alingā€™oka kwenye kiti hicho baada ya kumalizika kwa michuano ya AFCON 2023 nchini Ivory Coast .

Kabla ya kuwa kocha, aliwahi kukipiga katika timu za Barcelona,Zamalek na Sporting Lisbon na kuiwezesha timu ya taifa ya Nigeria U17 kubeba kombe la Dunia.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  SABABU YA KIFO CHA PETER "Peetah" MORGAN HII HAPA
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading