GARDNER GABRIEL ABASH TANZANIAN PRESENTER WHO DIED IN 51 AGE

0

0:00

CELEBRITIES

At 51, Captain Gardner G Abash is leaving the media stage as one of the famous, popular, and very influential media personalities.

Quite successful and impactful, having touched millions of East Africans and nurtured a number of big Tanzanian talents.

For long, he stood as one of the most paid radio presenters in the country.

He remains a legend even after his demise. His relaxed but commanding voice was so remarkable, and was in deed a unique signature that distinguishes Garder from every other radio voice.

His listeners will forever miss a tricky, creative, and very confident voice projecting from a natural-born bold presenter.

He was a passionate brand ambassador. He did the most incredible jingles and adverts.

Being the captain of Jahazi, Gardner sailed through all kind of waters; he navigated his ‘Jahazi’ through tubulances, when he lost his colleague Ephraim Kibonde, and when the ‘Jahazi’ itself was banned by authorities in those ‘dark days’ of media censorship, until the current regime came with positive approach. The revival of ‘Jahazi’ found Gardner stronger, more tactical, and engaging in his manoeuvres with the mic.

I was lucky to have had a 2 hours Jahazi program interview with Gardner along his very vibrant colleagues, George Bantu and Mussa Hussein. As a lead, Captain asked very relevant questions, and you could lucidly tell that this experienced radio maestro mastered his business.

At a personal level, Captain is a brother and friend. We always shared a table at triple 7 after our working hours, and on weekends, and relocated to Mzinga Lounge (after triple 7 is closed). It was always fun to have Gardner on the table, with his humble welcoming, salutations, and stories.
I am glad to have celebrated his last birthday with him on the 17th of March this year in Mzinga.

See also  Kama ulikua hujui kuwa duniani kuna sehemu bahari ya PASIFIKI na ATLANTIC zinakutana lakini maji yake HAYA CHANGANYIKI wacha nikufahamishe;- Unachokiona hapo sio uongo ni ukweli mtupu, Hizo ni BAHARI MBILI zinakutana hapo ambazo ni PASIFIC na ATLANTIC, Bahahari mbili za ATLANTIC na PACIFIC kuna sehemu zinakutana, Lakini cha ajabu maji hayo yanaonekana kutochanganyika, Upo mpaka kabisa katika maji unao yatofautisha maji ya bahari moja na bahari nyingine, Upande mmoja yakionesha kuwa na rangi tofauti na ya upande wa pili, Wengine wanalihusisha tukio hili na nguvu za giza, Wengine wanaeleza ni miongoni mwa ishara kwamba, Mungu yupo na wengine hawaelewi chochote. SABABU YA KUWA HIVI NI NINI? Kuweka mambo sawa lazima ieleweke kwamba, Si kwamba maji ya bahari hizo mbili hayachanganyikani si kweli, Isipokuwa huchukua muda kidogo kuchanganyikana, Na hii hutokea kwa sababuPACIFIC ndiyo bahari kubwa kuliko zote duniani, Ikikusanya maji kutoka ANTARCTICA mpaka ARCTIC, Yaani kuanzia ncha ya KASKAZINI mpaka ncha ya KUSINI ya dunia, Kwa kuwa sehemu kubwa ya vyanzo vya maji yake ni theluji, Hivyo kiwango cha chumvi kwenye maji ya bahari hiyo, Ni kidogo ukilinganisha na maji ya bahari ya ATLANTIC, Na hii theluji imetokana na baridi kali iliopo kwenye ncha ya Dunia, Kisayansi maji yenye kiwango tofauti cha chumvi, Huchukua muda mrefu sana kuchanganyikana, Na ushahidi wa hili ni kwamfano eneo ambalo mto AMAZON unaingiza maji baharini, Kwa kuwa maji ya mto hayana chumvi tofauti na ya baharini, Ukiwa umbali wa zaidi ya mita 200 baharini, Kutoka usawa wa eneo hilo kuna maji baridi yasiyo na chumvi kabisa. SABABU ZA KITAALAMU YA MAJI HAYO KUWA HIVYO NI KAMA ZIFUATAZO;- 1) Utofauti wa kiwango cha chumvi kati ya bahari hizo mbili, Bahari ya ATLANTIC ndio bahari yenye chumvi nyingi zaidi kuliko bahari zote duniani. 2) Maji ya Bahari ya ATLANTIC yanajongea kuelekea upande wa Kusini, Wakati huohuo maji ya PACIFIC yenyewe, Yanajongea kwa mfumo ambao kitaalamu huitwa circumpolar movement, Yaani mwendo wa kuzunguka kutoka ncha moja ya dunia mpaka nyingine, Kwa lugha nyepesi ni kwamba maji ya Bahari ya PACIFIC, Yanajongea kwa mfumo wa kuzunguka duara lakini yakitokea Mashariki, Mkondo wa Bahari ya ATLANTIC una nguvu zaidi kwa sababu una uelekeo mmoja, kwa hiyo katika eneo maji yanapo kutana, Maji ya ATLANTIC yanakuwa kwenye kasi tofauti inayokinzana na maji ya PACIFIC, Kwa hiyo yanalazimika kusafiri kwenye mstari mmoja ulionyooka, Kwa umbali fulani kabla ya baadaye kuanza kuchanganyikana. 3)Kasi ya maji ya juu ya bahari, ni tofauti na kasi ya maji ya chini ya bahari, Kwa hiyo pale bahari hizo mbili zinapokutana, Maji yanayoanza kuchanganyikana huwa ni ya chini kwa sababu ya kasi yake kisha baadaye, Ndiyo maji ya juu nayo huchanginyakana taratibu kwa sababu ya kasi yake. Hayo maji ya blue ni maji ya bahari ya PASIFIC, Na hayo maji meupe ndio maji ya bahari ya ATLANTIC.

At a professional level, Gardner is my client, and he has pending claims against corporations that we have started legal actions against (I will share details with his family).

Rest well, Captain Gardner G. Abash, you remain the best!

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading