DiscoverCars.com                                                                       

NIFFER ATAJA KISA CHA UGOMVI WAKE NA FRED VUNJABEI

CELEBRITIES

“SIMPENDI SANA VUNJABEI”



Mfanyabiashara mahili Janifer Jovin “Niffer” ameweka wazi kuwa hapendi biashara yake kuhusishwa na Fred Vunjabei pia amesema hajawahi kuwa na ukaribu Wala mahusiano ya kimapenzi na Fred Vunjabei.

Katika mazungumzo Hayo Niffer aliongeza Kwa Kusema anamchukia Fred Vunjabei kutokana na tabia yake ya kupenda kujihusisha nyuma ya mafanikio ya mwanadada yoyote wa hapa mjini.

Ikumbukwe Kipindi Niffer anaanza biashara ya nguo ziliibuka habari kuwa Fred Vunjabei Ndio anahusika Kwa asilimia Kubwa Kwa mwanadada huyo.

Love it or Not? Let us know!

Rate this

Login to submit a rating.
0.0
0 reviews
5
(0)
4
(0)
3
(0)
2
(0)
1
(0)
    See also  Leverkusen edge Mainz for seventh league win in a row

    By Mujuni Henry

    JUNIITV

    Leave a comment