Manchester City yaichapa 5-1 Wolverhampton

0

0:00

MICHEZO

Mshambuliaji Earling Halaand amepachika mabao manne kwenye ushindi wa 5-1 waliopata Manchester City dhidi ya Wolves kwenye muendelezo wa ligi kuu soka nchini England

Ushindi huo umewasogeza zaidi na ubingwa miamba hiyo wenye alama 82 baada ya michezo 35 wakiwa alama moja tu nyuma ya vinara Arsenal huku wakiwa na mchezo mmoja mkononi

Endapo Manchester City itapata ushindi kwenye michezo yake yote mitatu iliyosalia kwenye EPL basi watatwaa tena uchampioni wa ligi hiyo pendwa

City amebakiza michezo ya ugenini dhidi ya Fulham na Tottenham na mwisho atamalizia nyumbani dhidi ya West Ham United, timu zote hizo zikitokea London


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  KURASA ZA MAGAZETI YA HIVI LEO
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Please disable your adblocker or whitelist this site!

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading