JELA MIAKA 30 KWA KUMMWAGIA TINDIKALI USONI MCHUMBA WAKE

0:00

HABARI KUU

Mohamed Mwarandu Kombe (30), amehukumiwa miaka 30 jela baada ya kupatikana na hatia ya kummwagia tindikali usoni aliyekuwa mchumba wake, Fatma Kaingu (23).

Hukumu hiyo, imetolewa na Mahakama ya Mombasa Nchini Kenya baada ya mshitakiwa kupatikana kosa hilo lililomsababishia Fatma kuwa kipofu.

Hakimu mkaazi Mwandamizi, Gladys Olimo amesema amezingatia ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka, na ule wa mlalamikaji ulioambatana na ripoti za matibabu.

Katika ushahidi wa kitabibu, Madaktari walisema macho yake yaliharibika zaidi na hivyo kupoteza uwezo wa kuona na kwamba haingewezekana kumtibia kutokana na jinsi yalivyoathiriwa na kemikali hiyo.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  SIX RULES FOR YOUR RELATIONSHIP
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading