Ndege iliyombeba Rais Ebrahim Raisi wa Iran yapata ajali

0:00

HABARI KUU

Helikopta iliyombeba Rais Ebrahim Raisi wa Iran imepata ajali magharibi mwa nchi hiyo leo na vikosi vya uokoaji vimetumwa kuitafuta.

Waziri wa mambo ya ndani wa Iran Ahmed Vahidi amesema hali mbaya ya hewa na ukungu mzito ndiyo chanzo cha ajali hiyo na kwamba huenda itachukua muda kwa vikosi vya waokoaji kulifikia eneo la mkasa.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  Peter Obi made a visit to Mr. P after a heartfelt reunion with Paul and Jude Okoye, following their recent separation.
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading