Mbwana Samatta aisaidia PAOK kubeba Ubingwa

0

0:00

MICHEZO

Nahodha wa kikosi cha Timu ya Taifa Tanzania (Taifa Stars) Mbwana Samatta ameisaidia klabu yake ya PAOK ya nchini Ugiriki kushinda kikombe cha ligi soka nchini humo yaani Super League.

PAOK wamekuwa mabingwa wa ligi hiyo baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Aris walipokuwa ugenini, huku Samatta akiingia katika pambano hilo katika dakika ya 65.

Kikombe hicho kimemfanya Samatta awe na mataji mawili ya ligi aliyotwaa barani ulaya, moja akilitwaa akiwa na KRC Genk lingine akilwa na PAOK.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  ALPHONSO DAVIES AWAGOMBANISHA REAL MADRID NA BAYERN MUNICH
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading