Mwili wa Ebrahim Raisi wapatikana

0

0:00

BREAKING NEWS

Mwili wa aliyekuwa Rais wa Iran, Ebrahim Raisi umepatikana pamoja na wa Waziri wa Mambo ya Nje Hossein Amir-Abdollahian na maofisa wengine waliofariki katika ajali ya Helikopta Mei 19, 2024.



Nchi hiyo imeshatangaza kifo cha Ibrahim Raisi, aliyefariki usiku wa kuamkia leo katika ajali iliyotokea Kaskazini-Magharibi mwa nchi hiyo.

Miili hiyo imepatikana kwenye mteremko wa Mlima katika eneo la Varzaghan, karibu na mpaka wa Azerbaijan Mashariki.

Kwa mujibu wa taarifa za awali, hali mbaya ya hewa imetajwa kuwa sababu ya kutokea kwa ajali hiyo iliyopoteza vifo vya viongozi hao.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  The Nigeria Civil Aviation Authority (NCAA) has confirmed the grounding of Arik Air (W3, Lagos) aircraft based on a Federal Supreme Court order regarding a $2.5 million debt the airline owes to Atlas Petroleum International, the country’s largest privately owned petroleum exploration and production company.
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading