Toni Kroos atangaza kustaafu soka

0

0:00

MICHEZO

Kiungo kutoka nchini Ujerumani na Klabu ya Real Madrid Toni Kroos amesema atastaafu kandanda baada ya Fainali za Mataifa ya Barani Ulaya Euro 2024, zitakazounguruma mwezi ujao.

Msimu huu 2023/24 unakuwa wa mwisho kwa kiungo huyo kucheza soka katika ngazi ya Klabu akiwa na Real Madrid.

Kroos alisajiliwa Real Madrid mwaka 2014 akitokea FC Bayern Munich kwa dau la Pauni Milioni 25.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading