Bilionea Larry Connor aandaa mpango wa kuzama baharini kuyaona masalia ya meli ya Titanic

0:00

5 / 100

Bilionea Larry Connor wa Marekani anajipanga kwenda chini ya Bahari kwa kutumia Manowari licha ya ajali mbaya iliyotokea Juni 2023 ambapo watu watano walifariki dunia.

Connor, atasafiri kwa kutumia Manowari yenye uwezo wa kubeba watu wawili, lengo lake ni kufikia eneo yalipo mabaki ya meli ya Titanic iliyozama mwaka 1912.

Muwekezaji huyo amesema “nimenuia kuionyesha dunia kuwa japo bahari ina nguvu kubwa, lakini inaweza kuwa ya ajabu, yenye kufurahisha na kubadilisha maisha ikiwa utaiendea kwa njia sahihi”.

“Manowari tutakayotumia ina teknolojia ya hali ya juu na inaweza kwenda chini zaidi ya yalipo mabaki ya Titanic”.

Katika safari hiyo Connor ataongozana na Patrick Lahey mmoja wa waongoza manowari wenye uzoefu mkubwa duniani na mwanzilishi mwenza wa kampuni ijulikanayo kama Triton Submarines.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  Nyumba za Mfanyabiashara na Mwanamuziki Sean ‘Diddy’ Combs zilizopo Los Angeles na Miami zimevamiwa na Maafisa Usalama ikidaiwa wanafanya uchunguzi na upekuzi kuhusu tuhuma za Biashara ya Ngono na Biashara ya Binadamu zinazotajwa kuhusu staa huyoMaafisa wa HSI ambacho ni Chombo Kikuu cha Uchunguzi cha Idara ya Usalama wa Taifa ya Marekani wamewafunga pingu baadhi ya Watu waliokutwa katika nyumba ya Los Angeles wakiwemo Watoto wa Diddy ambao ni King na Justin huku baba yao akiwa hajulikani alipo.Inadaiwa ndege Binafsi ya Diddy imeonekana ikielekea Visiwa vya Caribbean kwa mujibu wa Tovuti ya Flight Tracking Data.
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading