Stephan Aziz ki kinara wa mabao ligi kuu ya Tanzania

0

0:00

Kiungo Stephan Aziz Ki amemaliza kinara wa ufungaji kwenye ligi kuu soka Tanzania Bara baada ya kumaliza msimu akiwa na mabao 21 na kumuacha mpinzani wake wa karibu kiungo nyota wa Azam FC, Feisal Salum aliyemaliza na mabao 19

Aziz Ki amepachika mabao matatu kwenye ushindi wa 4-1 walioupata Yanga SC mbele ya Tanzania Prisons kwenye mchezo wa mwisho wa ligi kuu wakati Feisal Salum akifunga bao moja kwenye ushindi wa 2-0 ugenini waliovuna Azam FC mbele ya Geita Gold FC

Kabla ya hapo nyota hao wawili walikuwa wakilingana mabao baada ya kila mmoja kufunga mabao 18.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  "I was angry with Pochettino, but he made me stronger " CUCURELLA
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading