NDEGE ILIYOMBEBA MAKAMU WA RAIS SAULOS CLAUS CHILIMA YARIPOTIWA KUPOTEA

0

0:00

Ndege iliyokuwa imembeba Makamu wa Rais wa Malawi Saulos Claus Chilima pamoja na watu wengine 9 imepotea asubuhi ya leo nchini Malawi.

Ofisi ya Rais imethibitisha kuwa Dr.Chilima alikuwemo kwenye ndege hiyo. Wengine ni pamoja na mke wa Makamu wa Rais Bi.Mary Chilima na mke wa Rais wa zamani wa nchi hiyo Bi.Patricia Shanil Dzimbiri.

Rais wa Malawi Lazarus Chakwera ameahirisha safari yake ya Bahamas na ameamuru mamlaka zote husika kuungana katika kuitafuta Ndege hiyo.

Hadi taarifa hii ilipofika kwenye vyombo vya habari mchana wa leo, juhudi zote za mawasiliano na ndege hiyo iliyokuwa ikitokea Lilongwe kuelekea Mzuzu zilikuwa zimefeli.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  MAWAZIRI WA SADC WAIPA TANZANIA MKONO WA POLE
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading