MKUU WA MKOA MSTAAFU AKAMATWA KWA ULAWITI

0:00

9 / 100

Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linamshikilia aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu (RC) Dk Yahya Nawanda kwa tuhuma za kumlawiti mwanafunzi wa Chuo Kikuu kimojawapo jijini Mwanza.

Taarifa ya kukamatwa kwa Dk Nawanda imetolewa leo Alhamisi Juni 13,2024 na Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mwanza, Wilbroad Mutafungwa.

Kwa mujibu wa Kamanda Mutafungwa, Jeshi hilo linaendelea kumshikilia Dk Nawanda kwa mahojiano kuhusiana na tuhuma hizo huku uchunguzi wa kina ukiendelea kuhusiana vielelezo vya tukio hilo.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  WHY IS IMPORTANT TO HAVE SEX
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading