YANGA YATOA UFAFANUZI KUHUSU SAKATA LA KUFUNGIWA NA FIFA

0

0:00

12 / 100

MICHEZO

ā€œKabla ya Dirisha la usajili kufunguliwa sisi Yanga tulikuwa tumeshafanya malipo yote kwa 100% ya hawa wachezaji wawili (Kambole & Mamadou Doumbia).

ā€œJuni 14, 2024 tulituma Proof Of Payment FIFA na Jana, Juni 18 tulipokea Email kutoka FIFA kwamba wamejiridhisha na malipo yetu.

ā€œKwa taarifa rasmi ni kwamba hakuna kesi yoyote FIFA inayohusisha Young Africans, jambo la Okrah muda ukifika litakuja kuzungumzwa kulingana na ripoti ya mwalimu mwenyewe kama atabaki au ataondoka,ā€ Meneja Habari na Mawasiliano wa Yanga Sc, Ally Kamwe.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  KWANINI RWANDA IPO TAYARI KUINGIA VITANI NA DR CONGO?
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Please disable your adblocker or whitelist this site!

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading