Mchekeshaji maarufu aapishwa kuwa Makamu wa Rais wa Malawi

0

0:00

Mchekeshaji maarufu aliyegeukia siasa, Dkt. Micheal Usi ameapishwa kuwa Makamu wa Rais wa Malawi katika hafla iliyofanyika bungeni katika mji mkuu wa Lilongwe.

Dkt. Usi mwenye umri wa miaka 55 anachukua nafasi ya Saulos Chilima, aliyefariki dunia katika ajali ya ndege hivi karibuni pamoja na watu wengine wanane.

Dkt. Usi alishangiliwa sana alipozungumza kwa mara kwanza baada ya kuapishwa akisema amelikubali jukumu hilo kwa mchanganyiko wa huzuni na shukurani.

Aliahidi kuheshimu kumbukumbu ya mtangulizi wake na kumshukuru Rais Lazarus Chakwera kwa kumwamini anapochukua nafasi yake ya makamu wa rais katika serikali hiyo ya umoja wa kitaifa.

Familia ya Dkt. Michael Usi

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  Joyous celebrations arise as actress Debbie Shokoya embraces motherhood, welcoming her first child just a year after experiencing a heartbreaking loss.
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading