WAFANYABIASHARA KARIAKOO WAGOMA SABABU IKIWA NI HII

0

0:00

Hali ilivyo katika mitaa mbalimbali ya soko kuu la Kariakoo lilipo Jiji Dar es Salaam, asubuhi ya leo Juni 24 2024, wafanyabiashara wamegoma kufungua maduka wakishinikiza serikali kutekeleza makubaliano yao waliyokubaliana mwaka jana 2023 katika kikao chao na waziri Mkuu Kassim Majaliwa.

Baadhi ya wafanyabiashara wamesema sababu kubwa iliyopelekea wao kufanya mgomo huu katika Soko la Kariakoo ni Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kurudisha Kikosi Kazi (enforcement) kubwa zaidi kuliko ya awali iliyozuiliwa na Waziri Mkuu katika mkutano wa mwisho baina ya serikali na wafanyabiashara uliofanyika Mei 2023 katika viwanja vya mnazi mmoja.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  SABABU YA MKE WA BILIONEA MSUYA KUACHIWA HURU
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading