11 WAYS TO PROPOSE TO THE LADY YOU LOVE BEFORE IT’S TOO LATE

0

0:00

When Oral Roberts proposed to Evelyn in 1958, these were his words:

“My huge, happy, hilarious heart is throbbing, tumultuously, tremendously, triumphantly with a lingering, lasting, long lived loved for you. As i gave into your bewildering, beauterous, beaming eye, I am literally, lonesomely lost in a dazzling, daring, delightful dream in which your fair, felicitous, fanciful face is ever present like a colossal, comprehensive, constellation. Will you be my sweet, smiling, soulful, satisfied spouse?”

To which Evelyn replied: “Listen Oral, If you are trying to propose to me, do it in English Language”!!!

Many guys have lost the opportunity of getting married to the ladies they love because they dont know how to go about it

These tips will help you if you follow them!!!

  1. Don’t speak grammar like Oral Roberts so that the girl will not need to go home and check her dictionary to know what you really mean!!! Just be yoursef and present your proposal in a very simple way!!! You dont need grammar even if you are a professor of English!!!
  2. Never make a proposal to anyone that you are not friendly with at all. At least establish a rapport and some level of friendship before breaking the news!
  3. Don’t use religious terminologies such as “The Lord said you are my wife” or Without me in your life, you can not fulfill destiny” or “I had a dream…..” etc.

The lady does not just want to know “God said”, she wants to be sure you love her and not that God is just forcing you to marry her. By all means try to avoid “God said”……when you are proposing.

See also  Kama ulikua hujui kuwa duniani kuna sehemu bahari ya PASIFIKI na ATLANTIC zinakutana lakini maji yake HAYA CHANGANYIKI wacha nikufahamishe;- Unachokiona hapo sio uongo ni ukweli mtupu, Hizo ni BAHARI MBILI zinakutana hapo ambazo ni PASIFIC na ATLANTIC, Bahahari mbili za ATLANTIC na PACIFIC kuna sehemu zinakutana, Lakini cha ajabu maji hayo yanaonekana kutochanganyika, Upo mpaka kabisa katika maji unao yatofautisha maji ya bahari moja na bahari nyingine, Upande mmoja yakionesha kuwa na rangi tofauti na ya upande wa pili, Wengine wanalihusisha tukio hili na nguvu za giza, Wengine wanaeleza ni miongoni mwa ishara kwamba, Mungu yupo na wengine hawaelewi chochote. SABABU YA KUWA HIVI NI NINI? Kuweka mambo sawa lazima ieleweke kwamba, Si kwamba maji ya bahari hizo mbili hayachanganyikani si kweli, Isipokuwa huchukua muda kidogo kuchanganyikana, Na hii hutokea kwa sababuPACIFIC ndiyo bahari kubwa kuliko zote duniani, Ikikusanya maji kutoka ANTARCTICA mpaka ARCTIC, Yaani kuanzia ncha ya KASKAZINI mpaka ncha ya KUSINI ya dunia, Kwa kuwa sehemu kubwa ya vyanzo vya maji yake ni theluji, Hivyo kiwango cha chumvi kwenye maji ya bahari hiyo, Ni kidogo ukilinganisha na maji ya bahari ya ATLANTIC, Na hii theluji imetokana na baridi kali iliopo kwenye ncha ya Dunia, Kisayansi maji yenye kiwango tofauti cha chumvi, Huchukua muda mrefu sana kuchanganyikana, Na ushahidi wa hili ni kwamfano eneo ambalo mto AMAZON unaingiza maji baharini, Kwa kuwa maji ya mto hayana chumvi tofauti na ya baharini, Ukiwa umbali wa zaidi ya mita 200 baharini, Kutoka usawa wa eneo hilo kuna maji baridi yasiyo na chumvi kabisa. SABABU ZA KITAALAMU YA MAJI HAYO KUWA HIVYO NI KAMA ZIFUATAZO;- 1) Utofauti wa kiwango cha chumvi kati ya bahari hizo mbili, Bahari ya ATLANTIC ndio bahari yenye chumvi nyingi zaidi kuliko bahari zote duniani. 2) Maji ya Bahari ya ATLANTIC yanajongea kuelekea upande wa Kusini, Wakati huohuo maji ya PACIFIC yenyewe, Yanajongea kwa mfumo ambao kitaalamu huitwa circumpolar movement, Yaani mwendo wa kuzunguka kutoka ncha moja ya dunia mpaka nyingine, Kwa lugha nyepesi ni kwamba maji ya Bahari ya PACIFIC, Yanajongea kwa mfumo wa kuzunguka duara lakini yakitokea Mashariki, Mkondo wa Bahari ya ATLANTIC una nguvu zaidi kwa sababu una uelekeo mmoja, kwa hiyo katika eneo maji yanapo kutana, Maji ya ATLANTIC yanakuwa kwenye kasi tofauti inayokinzana na maji ya PACIFIC, Kwa hiyo yanalazimika kusafiri kwenye mstari mmoja ulionyooka, Kwa umbali fulani kabla ya baadaye kuanza kuchanganyikana. 3)Kasi ya maji ya juu ya bahari, ni tofauti na kasi ya maji ya chini ya bahari, Kwa hiyo pale bahari hizo mbili zinapokutana, Maji yanayoanza kuchanganyikana huwa ni ya chini kwa sababu ya kasi yake kisha baadaye, Ndiyo maji ya juu nayo huchanginyakana taratibu kwa sababu ya kasi yake. Hayo maji ya blue ni maji ya bahari ya PASIFIC, Na hayo maji meupe ndio maji ya bahari ya ATLANTIC.

Make it plain and in simple language…….just tell her you love her and leave her to discover whether it was the Lord or not!

  1. Don’t pressurize a lady if she tells you that she needs time to give you an answer. Give her a breathing space. She may not be playing “hard to get”, In most cases its a genuine and sincere request.
Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading