TUNDU LISSU Atangaza Nia ya Kugombea Urais wa Tanzania

0:00

5 / 100

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amesema nia yake ya kugombea Urais mwaka 2025 iko palepale kama alivyogombea Urais mwaka 2020.

Akiongea leo July 26,2024 muda mfupi baada ya kuwasili Airport Jijini Dar es salaam akitokea nje ya Nchi, Lissu amesema “Nilipokuwa namkabili Magufuli nilikuwa na miaka 52 mwaka ujao nitakuwa na miaka 57 kwahiyo haiwezi ikawa nina nguvu zilezile lakini nguvu ya hoja, na msimamo wa kisiasa na uaminifu kwa Watanzania bado upo palepale, kwahiyo nia yangu ya kugombea Urais mwaka 2025 ipo palepale, nitaitikia wito wa Watanzania, nitaitikia wito wa Chama changu”


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  Canada have failed in an appeal to be awarded a bronze medal from the 2022 Winter Olympic team figure skating event.
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading