0:00

Mzee Magoma ameamriwa na mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu kuilipa klabu ya Yanga kiasi kisichopungua Tsh 70 Million za fidia ya kesi ambayo ameshindwa leo 9 Aug 2024.

Pia, mjumbe wa kudumu wa bodi ya wadhamini wa Yanga SC, mke mstaafu wa Rais wa kwanza wa Zanzibar, Bi Fatma Karume amemfungulia kesi ya jinai mzee magoma kwa kufoji saini yake.

ℹ️ Iwapo akikutwa na hatia ya kosa hilo la jinai adhabu yake ni miaka (7) jela.

Mujuni Henry
Author: Mujuni Henry

JUNIITV


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  Polisi wa Argentina wanachunguza vitisho vya kifo vilivyotolewa kwa familia ya mshambuliaji Angel Di Maria nyumbani kwao Roasario.
Don't miss out!
Invalid email address

Leave a Reply

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading