DiscoverCars.com                                                                       

CELEBRITIES

SITAKI MTOTO NJE YA NDOA

Mwanamziki wa RNB Juma Jux amevunja ukimya baada ya watu wengi kumjia juuu kuhoji kwanini Mwanamziki huyo anabadili sana wanawake ila hapati kabisa mtoto kwa wanawake wote anaokuwa nao.

Kupitia mahojiano hayo Juma Jux ameweka wazi kuwa hayupo tayari kupata mtoto na mwanamke yoyote ambaye hajafunga nae Ndoa, Kwa muktadha huo Juma Jux inaonesha hayupo tayari Kabisa Kupata Mtoto akiwa nje ya ndoa.

Ikumbukwe hadi Sasa Juma Jux amekuwa kwenye Mahusiano na Jacklin Cliff, Vannesa Mdee, Jacqueline Wolper, na Kalen Bujulu hao ni wa Hapa Nchini tuu ila Wote hao wamepita salama Kwa Juma Jux bila kula ndimu na Udongo.

Love it or Not? Let us know!

Rate this

โ˜…โ˜…โ˜…โ˜…โ˜…
Login to submit a rating.
0.0
โ˜…โ˜…โ˜…โ˜…โ˜…
0 reviews
5
(0)
4
(0)
3
(0)
2
(0)
1
(0)
    See also  The Independent Corrupt Practices and Other Related Offences Commission (ICPC) has refuted social media claims suggesting that former Minister of Labour and Employment, Chris Ngige, was arrested by the Commission on Wednesday.

    Leave a Reply