Kocha Ange Postecoglou ataka watatu Tottenham

0:00

MICHEZO

Kocha Mkuu wa Kikosi cha Tottenham Ange Postecoglou ameushinikiza Uongozi wa klabu hiyo kuhakikisha unafanya usajili wa wachezaji angalau watatu wapya, ambao wataongeza nguvu kwenye kikosi chake msimu ujao 2024/25.

Kocha huyo raia wa Australia, yuko katika hali mbaya baada ya kumalizika kwa msimu akiwa katika mazingira magumu, kuafutia kikosi chake kufanya hovyo kwenye michezo ya mwisho ya msimu wa 2023/24 uliofikia tamati Jumapili (Mei 19).

Postecoglou anaamini kuwa Spurs ina kila sababu za kuhakikisha kikosi chake kinakuwa imara, hivyo amewataka viongozi wake kuhakikisha mpango huo unafanikiwa katika kipindi hiki cha usajili wa majira ya joto.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  KAMWE AFUNGUKA SIRI NZITO KUHUSU WACHEZAJI WALIOPATA MAJERAHA YANGA
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading