MASHABIKI 11 WAJERUHIWA KWENYE MCHEZO

0:00

MICHEZO

Mashabiki 11 wa soka wamejeruhiwa baada ya fataki kurushwa wakati wa mechi ya Bundesliga kati ya timu za Augsburg na Hoffenheim jana.

Kwa mujibu wa polisi ,fataki hiyo ilirushwa kutokea upande wa uwanja wa WWK Arena . Kelele kubwa ilisikika uwanjani humo huku watu kadhaa wakijeruhiwa wakati wa mlipuko.

Mchezo ulisimamishwa wakati huduma za dharura zikitolewa na baadaye uliendelea na kutoka kwa sare ya 1-1.

Polisi wameanza uchunguzi kuhusiana na tukio hilo na washukiwa wawili washakamatwa.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  ARSENE WENGER AISHAURI LIVERPOOL
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading