SNOOPDOG ATANGAZA KUACHA KUVUTA BANGI

0:00

NYOTA WETU.

Nguli na rapa kutoka nchini Marekani, Snoopdog ameandika kwenye mtandao wake kuhusu kuacha kuvuta.

“Baada ya muda mrefu wa tafakuri na majadiliano na familia yangu ,nimeamua kuacha kuvuta.

Chonde heshimuni faragha yangu.

Amemaliza hivyo Snoopdog.

Mkongwe huyo aliezaliwa Oktoba 20,1971 alianza kutamba mwaka 1992 baada ya kushiriki kwenye lebo ya Dr. Dre baada ya kuachia kibao cha “Deep Cover”cha mwaka 1992 kabla ya Dr. Dre kumshirikisha kwenye Album ya “The chronic”.

Snoopdog ni mme wa mrembwende Shante Broadus aliyefunga nae pingu za maisha mwaka 1997 na kwasasa wako wote kwenye ndoa zaidi ya miaka 26 na pia wana watoto watatu wakijaliwa wajukuu watano.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  LIL WAYNE ASHTAKIWA KWA KUTISHIA KUUA
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading