HUYU NDIYE MREMBO ZAIDI DUNIANI 2023

0:00

NYOTA WETU.

Mrembo wa nchini Nicaragua 🇳🇮 Sheynnis Palacios Cornejo ameshinda taji la miss universe 2023 kwenye shindano lililofanyika Jumamosi usiku kwenye mji mkuu wa El Salvador, San Salvador.

Anntonia Porslid wa Thailand 🇹🇭 alishika nafasi ya pili.

Ushindi wa Palacios unamfanya kuwa Mwanamke wa kwanza nchini humo kuwahi kushinda shindano hilo la miss universe.

Mwaka 2021 aliiwakilisha nchi ya Nicaragua kwenye miss World.

Nchi 84 zilikuwa na wawakilishi kwenye shindano hilo.

Palacios amechukuwa kiti cha mtangulizi wake raia wa Marekani, R’Bonney Gabriel aliyeshinda miss universe 2022.

0RODHA YA 5 BORA


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  TAZAMA WIMBO MPYA WA ZUCHU "SIJI"
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading