KWANINI UNYWAJI WA MVINYO HUSABABISHA MAUMIVU YA KICHWA

0:00

MAKALA

Watafiti wa Marekani wanasema wamegundua ni kwanini baadhi ya watu hupata maumivu ya kichwa baada ya glasi moja ya mvinyo,lakini wakinywa vinywaji vingine vya vileo wanakuwa sawa.

Timu ya chuo kikuu California inasema ni kutokana na mchanganyiko wa vitu katika zabibu nyekundu ambavyo vinaweza kuharibu jinsi mwili unavyobadilisha Pombe.

Mchanganyiko huo ni antioxidants au flavanol inayoitwa quercetin.

Zabibu nyekundu hutengeneza zaidi quercetin zinapopigwa na jua.

Hii ina maana mvinyo mwekundu wa bei ghali , una madhara zaidi ya kusababisha maumivu ya kichwa.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  Ukweli Wa FISTON MAYELE Jinsi Unavyomweka Huru
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading