KATUMBI NA TSHISEKEDI NANI KUICHUKUA DRC?

0:00

HABARI KUU

Jumla ya wagombea wanne wa urais nchini CONGO wamejiengua kwenye mchakato wa kinyang’anyiro cha kugombea urais wa CONGO na kuamua kumuunga mkono ,Gavana wa zamani wa jimbo lenye utajiri wa madini ,Moise Katumbi “Chapwe” ambaye ni mgombea wa upinzani.

Wanasiasa waliojitoa kwenye mchakaro huo ni; Delly Sesanga,Matata Ponyo, Seth Kikuni na Franck Diongo. Hatua hiyo inafanya wagombea waliosalia kuwa ni 21 na wote wanachuana dhidi ya Rais Felix Tshisekedi anaewania muhula wa pili wa urais.

Kampeini zilianza wiki mbili zilizopita na zinatarajiwa kuitimika mnamo Desemba 18,2023 siku mbili kabla ya uchaguzi kufanyika kwenye nchi hiyo ya Afrika Mashariki yenye watu wanaokadiriwa kuwa milioni 9


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading