MICHEZO
Watu wengi wamekuwa wakijiuliza ni kwanini Novatus Dismas anakaa sana benchi ,je hana uwezo? au mabadiliko kwenye benchi la ufundi ni sababu ya kijana huyo kukosa nafasi ya kucheza?
Kwa mujibu wa Mwandishi mmoja wa habari nchini Ukraine šŗš¦ amenukuliwa akisema;-
“Sitaki kuamini kama sababu ni uwezo wake lakini kitendo cha Novatus kwenda hapo kwa mkopo akitokea Zulte naamini kuna hofu ya Shakhtar Donetsk kuendelea kumtumia kwakuwa wanahofia kumuweka kwenye njia ya kununuliwa na timu nyingine, kitu ambacho Shakhtar hawanufaiki nacho “.
Discover more from JUNIITV.ONLINE
Subscribe to get the latest posts sent to your email.