AZIZ KI NA YANGA MAMBO YAKO HIVI
NYOTA WETU.
Taarifa zilizopo ni kuwa Klabu ya Yanga ya jijini Dar es salaam imemalizana na nyota wake raia wa Burkina Faso š§š«, Stephanie Aziz Ki juu ya kuongeza mkataba mpya wa kusalia kwenye viunga vya Jangwani, Kariakoo.
Ikumbukwe mkataba wa Aziz Ki unatamatika mwisho wa msimu huu wa 2023-24 na mpaka sasa ,Stephanie Aziz Ki amefunga jumla ya mabao 9 kwenye michezo 10 ya ligi kuu ya Tanzania bara huku akiwa ni kinara wa mabao.
Discover more from JUNIITV.ONLINE
Subscribe to get the latest posts sent to your email.