DONALD TRUMP ASHINDA UCHAGUZI

0:00

HABARI KUU

Donald Trump ameshinda uteuzi wa kuwa mgombea wa Urais wa Marekani kupitia chama cha Republican baada ya kupata ushindi wa asilimia 59.8 ya kura dhidi ya Nikki Haley aliyepata asilimia 39.5 katika jimbo la South Carolina.

Baada ya ushindi huo wa Trump, kwa sasa anategemea kukutana tena na mrithi wake ambaye ni Rais Joe Biden wa Marekani.

Kwa upande wake Haley ambaye aliwahi kuwa Gavana maarufu wa jimbo la South Carolina kwa mihula miwili, amempongeza Trump kwa ushindi huo.


Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe to get the latest posts sent to your email.

See also  5 THINGS THAT BREAK TRUST IN A RELATIONSHIP OR MARRIAGE
Don't miss out!
Invalid email address

By Mujuni Henry

JUNIITV

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner                            

Discover more from JUNIITV.ONLINE

Subscribe now to keep reading and get access to the full archive.

Continue reading