Mkuu wa Wilaya Morogoro Rebeca Nsemwa ameagiza kuchukuliwa hatua za kinidhamu Diwani Kata Mwembesongo Mhe.Ally Rashidi Kalungwana Kwa kitendo cha Kutumia vibaya madaraka yake kujenga vibanda vya biashara katika eneo la wazi Soko Kuu la chifu Kingalu Manispaa ya Morogoro

DC Rebbeca amesema Diwani huyo amejenga vibanda vya kufanyia biashara katika Soko Kuu la Chifu Kingalu bila kufuata taratibu za mipango miji jambo ambalo ni kosa kisheria na kutaka achukuliwe hatua za kinidhamu haraka sana Ili iwe fundisho kwa watu wengine. DC Rebbeca anasema licha ya Diwani huyo kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya mipango miji… Continue reading Mkuu wa Wilaya Morogoro Rebeca Nsemwa ameagiza kuchukuliwa hatua za kinidhamu Diwani Kata Mwembesongo Mhe.Ally Rashidi Kalungwana Kwa kitendo cha Kutumia vibaya madaraka yake kujenga vibanda vya biashara katika eneo la wazi Soko Kuu la chifu Kingalu Manispaa ya Morogoro

Mkuu wa Wilaya Morogoro Rebeca Nsemwa ameagiza kuchukuliwa hatua za kinidhamu Diwani Kata Mwembesongo Mhe.Ally Rashidi Kalungwana Kwa kitendo cha Kutumia vibaya madaraka yake kujenga vibanda vya biashara katika eneo la wazi Soko Kuu la chifu Kingalu Manispaa ya Morogoro

DC Rebbeca amesema Diwani huyo amejenga vibanda vya kufanyia biashara katika Soko Kuu la Chifu Kingalu bila kufuata taratibu za mipango miji jambo ambalo ni kosa kisheria na kutaka achukuliwe hatua za kinidhamu haraka sana Ili iwe fundisho kwa watu wengine. DC Rebbeca anasema licha ya Diwani huyo kuwa Mwenyekiti wa Kamati ya mipango miji… Continue reading Mkuu wa Wilaya Morogoro Rebeca Nsemwa ameagiza kuchukuliwa hatua za kinidhamu Diwani Kata Mwembesongo Mhe.Ally Rashidi Kalungwana Kwa kitendo cha Kutumia vibaya madaraka yake kujenga vibanda vya biashara katika eneo la wazi Soko Kuu la chifu Kingalu Manispaa ya Morogoro

AFA BAADA YA KUWAPA WANAE SUMU

HABARI KUU Mkazi wa Kijiji cha Mashese, Daines Paul Mwashambo (30),  ambaye alikuwa akishikiliwa kwa tuhuma za kuwaua watoto wake wawili kwa kuwanywesha sumu kutokana na msongo wa mawazo amefariki dunia. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Mbeya, Benjamin Kuzaga amesema Daines alikuwa akipatiwa matibabu katika Hospitali ya Mkoa wa Mbeya na alifariki dunia Machi 9,… Continue reading AFA BAADA YA KUWAPA WANAE SUMU

ANGER MANAGEMENT RULES FOR COUPLES

LOVE ❤ 1. Know that anger is a normal and human emotion 2. Know the temperament of your spouse and yourself. Are you or your spouse hot tempered, or slow to anger? This will equip you on how to better handle yourself and your spouse 3. Do not get comfortable using curse words and insults;… Continue reading ANGER MANAGEMENT RULES FOR COUPLES

SASA NI RASMI MWEZI WA RAMADHAN UNAANZA MACHI 12

HABARI KUU Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar leo Jumatatu March 11,2024 imesema kuanzia kesho March 12 2024 Waislamu watapaswa kuanza kufunga katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhan baada ya mwezi kuandama leo. Taarifa hiyo imetangazwa na Katibu wa Ofisi ya Mufti Mkuu wa Zanzibar, Khalid Mfaume kwa niaba ya Mufti Mkuu wa Zanzibar, Sheikh Saleh… Continue reading SASA NI RASMI MWEZI WA RAMADHAN UNAANZA MACHI 12

WATOTO NANE WAFA KWA KULA NYAMA YA KASA ZANZIBAR

HABARI KUU Watoto nane na Mwanamke mmoja wamefariki dunia baada ya kula nyama ya Kasa Visiwani Zanzibar. Mamlaka visiwani humo zimeripoti kuwa watu 78 wamelazwa hosptali baada ya kula nyama hiyo ambayo hupendwa sana Zanzibar. Ulaji wa nyama hiyo ikiwa si salama husababisha sumu inayoweza kuua. Hali hiyo haina dawa bali yapo matibabu ya kuweza… Continue reading WATOTO NANE WAFA KWA KULA NYAMA YA KASA ZANZIBAR

12 REASONS TO FORGIVE YOUR SPOUSE

LOVE ❤ 1. Your spouse has apologized. As long as your spouse admits the wrong he/she has done, find it in you to forgive 2. You too need forgiving. Maybe you have wronged or you will wrong your spouse differently, you are not perfect. It is not about who is more wrong 3. To build… Continue reading 12 REASONS TO FORGIVE YOUR SPOUSE

WHEN SEX IN MARRIAGE IS SWEET EXPECT THESE img

LOVE ❤ WHEN SEX IN MARRIAGE IS SWEET_____________________________1. Affairs are less likely to happen.2. The house is full of warmth.3. Both of them want more of it.4. Sleep is more pleasurable.5. It leads to emotional and mental well being.6. Conflicts rarely occur and when they do, they are quickly resolved.7. Conversations are more intimate.8. Making… Continue reading WHEN SEX IN MARRIAGE IS SWEET EXPECT THESE img

AFYA YA PAPA FRANCIS YAZIDI KUZOROTA

NYOTA WETU Kwa mara nyingine tena Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki Duniani Papa Francis, alimuomba Msaidizi wake kumsomea somo la katekisimu wakati wa misa ya Jumatano. Papa aliongoza misa hiyo ya kila wiki ambayo kwa mara ya kwanza ndani ya mwaka huu ilifanyikia nje katika uwanja wa St.Peters. Kiongozi huyo pia alionekana kushindwa kupanda ngazi… Continue reading AFYA YA PAPA FRANCIS YAZIDI KUZOROTA

MACKY SALLY ATANGAZA SIKU YA UCHAGUZI SENEGAL

NYOTA WETU Rais wa Senegal Macky Sally amechukua hatua ya Uchaguzi Mkuu wa Urais kufanyika Machi 24,2024 ikiwa ni baada ya siku za hivi karibuni Mahakama ya kikatiba kutupilia mbali kuahirishwa kwa tarehe iliyokuwa imepangwa awali. Muhula wa Macky Sall utamalizika Aprili 2 mwaka huu baada ya kuomba uchaguzi kusogezwa mbele hadi mwezi Juni badala… Continue reading MACKY SALLY ATANGAZA SIKU YA UCHAGUZI SENEGAL

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner