HAJI MANARA AZIDISHA MOTO SUALA LA PRINCE DUBE KUAMIA YANGA

MICHEZO Baada ya Mchambuzi wa masuala ya kandanda Jemedari Saidi kupinga shauri la Haji Manara la kumchangia Prince Dube, manara amemjibu haya kupitia kwenye Instagram. “Mnaandika wenyewe mimi nimefungiwa, baadae mnasema sipo katika familia ya Mpira, hapo hapo mnasema nipuuzwe na baadae mnadai mimi Mjinga, kiufupi Mimi ndio Star wenu huku mitandaoni, Mimi ndio nnaewapa… Continue reading HAJI MANARA AZIDISHA MOTO SUALA LA PRINCE DUBE KUAMIA YANGA

BASHUNGWA AMSIMAMISHA KAZI MENEJA TANROADS LINDI

HABARI KUU Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amemsimamisha kazi Meneja wa TANROADS Mkoa wa Lindi, Eng. Andrea Kasamwa kwa kushindwa kusimamia urejeshwaji wa miundombinu ya barabara na madaraja katika Wilaya ya Liwale Mkoani Lindi na kupelekea barabara kuu zinanounganisha wilaya hiyo na maeneo mengine kufungwa. Waziri Bashungwa akiwa ameambatana na Naibu Waziri wa Ofisi ya… Continue reading BASHUNGWA AMSIMAMISHA KAZI MENEJA TANROADS LINDI

MFAHAMU DOROTHY SEMU MWENYEKITI WA ACT WAZALENDO

HABARI KUU Aliyekuwa Makamu Mwenyekiti wa Chama cha ACT Wazalendo bara, Doroth Semu amechaguliwa kuwa Kiongozi wa Chama hicho akichukua nafasi ya muasisi wa chama hicho, Zitto Kabwe aliyemaliza muda wake. Semu ameshinda kwa Kura 534 sawa na 65.7% zilizopigwa na Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa chama ambapo alikuwa akiwania nafasi hiyo na Mbarala Maharagande… Continue reading MFAHAMU DOROTHY SEMU MWENYEKITI WA ACT WAZALENDO

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner