MBUNGE ATAKA PASSPORT ZIRUDI KUINGIA ZANZIBAR

HABARI KUU Mbunge wa Jimbo la Konde, Pemba, Mohamed Said Issa ameitaka Serikali irudishe utaratibu wa kuingia visiwani Zanzibar kwa hati ya kusafiria akidai visiwa hivyo vinahitaji kulindwa. Mohamed amesema hayo Bungeni jijini Dodoma wakati akichangia Bajeti ya Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) kwa mwaka wa fedha 2024/2025. “Sasa hivi Zanzibar imejaa… Continue reading MBUNGE ATAKA PASSPORT ZIRUDI KUINGIA ZANZIBAR

HOW TO MAKE YOUR WIFE RESPECT YOU IN THE MARRIAGE

LOVE TIPS ❤ 10 WAYS ON HOW TO MAKE YOUR WIFE RESPECT AND SUBMIT TO YOU FOR LIFE. Making a woman do your wish, honour you, adore you, celebrate you, respect you and submit to you for life is not difficult at all. No woman on earth is difficult, except you married the devil’s own… Continue reading HOW TO MAKE YOUR WIFE RESPECT YOU IN THE MARRIAGE

” kauli za Rais Samia anatoa hela zinakera” Mbowe

MAGAZETI Karibu Mtanzania popote pale ulipo kwenye asubuhi ya leo kwenye mbao za magazeti ya hivi leo popote pale ulipo kwenye Jamhuri yetu tukufu ya Tanzania.

Etinosa Idemudia defends Phyna against critics after she mistakenly called out soft drink brand

CELEBRITIES Nollywood actress, Etinosa Idemudia takes sides with reality TV star, Phyna as netizens come for her heavily after she mistakenly called out a soft drink brand. Recall that amid a dispute with some of the organizers of the popular BBNaija show for refusing to give her all her full prizes, Phyna accused soft drink… Continue reading Etinosa Idemudia defends Phyna against critics after she mistakenly called out soft drink brand

MKATABA WA PRODIGY ENDRICK NA MPENZI WAKE GABRIELY MIRANDA HUU HAPA

NYOTA WETU Prodigy Endrick ambaye ni mchezaji chipukizi wa Brazil, akiwa na umri wa miaka 17, ameshika vichwa vya habari baada ya kuweka wazi kuwa yeye na mpenzi wake aitwaye Gabriely Miranda, mwenye umri wa miaka 21, wameandikiana mkataba wa mahusiano yao, ambao umeonekana kuwa na masharti ya kipekee. Endrick ameyasema hayo akiwa na mpenzi… Continue reading MKATABA WA PRODIGY ENDRICK NA MPENZI WAKE GABRIELY MIRANDA HUU HAPA

RS BERKANE YAGOMEA KUINGIZA TIMU UWANJANI MCHEZO WA CAF UKITIWA DOA

MICHEZO Mchezo wa Nusu Fainali ya Kombe la Shirikisho (CAF Confederation Cup) kati ya USM Alger ya Algeria na RS Berkane ya Morocco haujafanyika baada ya wageni RS Berkane kuzikataa jezi walizozikuta kwenye Vyumba vya Uwanjani wakidai sio zao. Awali, RS Berkane walidai jezi zao zilizuiwa Uwanja wa Ndege walipowasili Algeria, wakawaambia hawataruhusiwa kuzitumia kwa… Continue reading RS BERKANE YAGOMEA KUINGIZA TIMU UWANJANI MCHEZO WA CAF UKITIWA DOA

JENERALI FRANCIS OGOLLA ALIOMBA ASIZIKWE NA NGUO

HABARI KUU Aliyekuwa Mkuu wa Majeshi nchini Kenya Jenerali Francis Ogolla amezikwa leo nyumbani kwao katika kijiji cha Ng’iya, Siaya. Jenerali Ogolla ambaye alikuwa Muumini wa dini ya Kikristo, amezikwa na Sanda tu, bila Jeneza wala nguo jambo ambalo aliliomba mwenyewe wakati wa uhai wake. Jenerali Ogolla alifariki tarehe 18 mwezi huu kwa ajali ya… Continue reading JENERALI FRANCIS OGOLLA ALIOMBA ASIZIKWE NA NGUO

JUDE BELLINGHAM AIBEBA MADRID IKIICHAPA BARCELONA KWENYE EL CLASSICO

MICHEZO Bao la dakika za lala salama la Jude Bellingham limeipatia Real Madrid pointi zote tatu dhidi ya Barcelona katika dimba la Santiago Bernabéu kwenye El Clasico. FULL TIME: Real Madrid 3-2 Barcelona⚽ Vini Jr 18′⚽ Lucas 73′⚽ Bellingham 90+1′⚽ Christensen 6′⚽ Lopez 69′ Real imesogea mpaka alama 11 mbele ya Barcelona kwenye msimamo wa… Continue reading JUDE BELLINGHAM AIBEBA MADRID IKIICHAPA BARCELONA KWENYE EL CLASSICO

CATEGORIES OF LADIES WHO BEG TO BE LOVED

LOVE TIPS ❤ 3 CATEGORIES OF LADIES WHO BEG TO BE LOVED 1️⃣ LIABILITIES These ones know they have NOTHING tangible to offer or contribute to a Man, they know anybody being with them is actually doing them a favor, so they turn love beggars when they see someone that gives them a second look…… Continue reading CATEGORIES OF LADIES WHO BEG TO BE LOVED

MAKONDA AGEUKIA DAWA ZA KULEVYA

MAGAZETI Karibu Mtanzania popote pale ulipo kwenye asubuhi ya leo kwenye mbao za magazeti ya hivi leo popote pale ulipo kwenye Jamhuri yetu tukufu ya Tanzania.

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner