Aliko Dangote, the leader of Dangote Group, voiced his disagreement with the recent CBN choice to increase interest rates to nearly 30%.

During a conference organized by the Manufacturers Association of Nigeria, the speaker highlighted the fact that the existing interest rates are a major obstacle to job creation and expansion in the manufacturing sector, posing a significant challenge for Nigerian manufacturers to stay competitive. He emphasized the need for new policies to safeguard local industries, stressing… Continue reading Aliko Dangote, the leader of Dangote Group, voiced his disagreement with the recent CBN choice to increase interest rates to nearly 30%.

MENEJA WA TRA AKAMATWA NA MENO YA TEMBO

Jeshi la Polisi Wilaya ya Kibondo Mkoa wa Kigoma linamshikilia Meneja wa Mamlaka ya Mapato Tanzania TRA Wilayani humo Irving Mutegeki kwa tuhuma za kukutwa na meno ya Tembo. Mutegeki Bagasheki amekamatwa na nyara hizo za Serikali Wilaya ya Kibondo Julai 2,2024 akiwa kwenye gari binafsi majira ya usiku na anaendelea kushikiliwa na jeshi la… Continue reading MENEJA WA TRA AKAMATWA NA MENO YA TEMBO

Kwanini Yanga ilimhitaji zaidi Chama kuliko Simba?

UCHAMBUZI Faida ya uwepo wa Chama Jangwani kwanza uzoefu wa mashindano ya kimataifa: kwenye kikosi cha Yanga hakuna mchezaji anafikia rekodi za Chama katika mashindano ya kimataifa kwenye ligi ya mabingwa barani AfrikaAmecheza misimu (6) michezo ( 55) Mabao 12 Anashika nafasi ya saba katika orodha ya wafungaji bora wa muda wote wa ligi ya… Continue reading Kwanini Yanga ilimhitaji zaidi Chama kuliko Simba?

We Are Are Fighting A War — DHQ Opens Up On Borno Bombings

The Defence Headquarters has described the recent bombings in Borno State as Nigeria receding into a state of war. This was revealed in a statement by the Director Defence Media Operations, Major General Edward Buba, on Tuesday while re-enacting the gory incidents that led to the loss of lives in the Gworza Local Government Area… Continue reading We Are Are Fighting A War — DHQ Opens Up On Borno Bombings

‘Satan controls entertainment industry’ – Actor Patrick Doyle on Tems BET award

Popular Nigerian filmmaker, Patrick Doyle has claimed that the entertainment industry is being controlled by satan. The actor stated this while reacting to singer Tems’ recent BET award. This reports that Tems, a secular musician won the best gospel award at the 2024 BET Awards held on Monday, at the Peacock Theater in Downtown Los… Continue reading ‘Satan controls entertainment industry’ – Actor Patrick Doyle on Tems BET award

Usajili wa Chama Yanga wamuibua Molinga

Aliyekuwa mshambuliaji wa Yanga, David Molinga amesema kuwa uamuzi alioufanya kiungo mshambuliaji wa Simba, Clatous Chota Chama wa kutimkia Yanga ni uamuzi sahihi kwa sasa kwani utamfanya kurejesha makali yake aliyokuwa nayo kipindi cha nyuma. Molinga ambaye ni raia wa Congo DR amesema kuwa Chama anayo kazi kubwa ya kwenda kupambania namba kwenye kikosi cha… Continue reading Usajili wa Chama Yanga wamuibua Molinga

Sababu zinazosababisha “Allergy ” /mzio

Mzio hutokea pale mwili unapopambana na kitu kisicho na madhara kwa kawaida, kama vile poleni, manyoya ya wanyama, au vyakula fulani. Vitu hivi vinavyosababisha mzio huitwa “Allergens”. Sababu zinazoweza kusababisha Mzio:- 🔴Urithi: Kama kuna historia ya mzio katika familia yako, kuna uwezekano mkubwa wa wewe pia kuwa na mzio. 🔴Mfumo wa Kinga mwilini kutofanya kazi… Continue reading Sababu zinazosababisha “Allergy ” /mzio

Why RHULANI MOKWENA leaves Sundowns 🍃

The final and official decision is yet to be made following tense discussions, but the probability Mokwena will step down is high It’s understood at the centre of this shocking development at Chloorkop is the broken working relationship between the coach and sporting director Flemming Berg The coach was not present on Monday when the… Continue reading Why RHULANI MOKWENA leaves Sundowns 🍃

Kwanini Gen Z wanaandamana Kenya?

Generation Z nchini Kenya wameendelea na maandamano wakimshinikiza Rais William Ruto ajiuzulu kwa madai ameshindwa kuongoza nchi hiyo. Maandamano ya vijana wanaojulikana Gen Z yanaendelea nchi Kenya licha ya Rais William Ruto kupanga kukutana nao kwa njia ya mtandao na vijana hao Julai 4. Vijana hao leo wameingia mitaani katika miji kadhaa ya Kenya ukiwemo… Continue reading Kwanini Gen Z wanaandamana Kenya?

SAMIA kubeba gharama za matibabu ya Sativa

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema kuwa atabeba gharama zote za matibabu ya kijana Edgar Mwakabela, maarufu kama Sativa kuanzia sasa mpaka atakapopona kabisa, pamoja na kuhakikisha unafanyika uchunguzi wa tukio la kutekwa kwake. Hayo yameelezwa Kiongozi Mstaafu wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto kabwe leo baada ya… Continue reading SAMIA kubeba gharama za matibabu ya Sativa

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner