WANAFUNZI WAFARIKI KWA KUVUTA MOSHI WA JENERETA

HABARI KUU Wanafunzi saba wa chuo kikuu wamefariki dunia baada ya kuvuta moshi wa jenereta katika studio ya muziki kwenye jimbo lenye utajiri wa mafuta la Bayelsa nchini Nigeria. Vijana hao wanasemekana kufanya kazi hadi Jumatatu usiku na kulala kwenye studio iliyofungwa milango huku jenereta likiendelea kufanya kazi. Wanashukiwa kufa kwa kukosa hewa safi na… Continue reading WANAFUNZI WAFARIKI KWA KUVUTA MOSHI WA JENERETA

THINGS YOU MUST GIVE YOUR SPOUSE

LOVE TIPS ❤ 6 THINGS YOU MUST GIVE YOUR SPOUSE: Do you really desire a healthy marriage? Are you really sure? Are you ready to give it all it will take? If you answered yes to all these questions, then let me tell you some things you must give to your spouse if you really… Continue reading THINGS YOU MUST GIVE YOUR SPOUSE

TB Joshua na sakata la kuwanyanyasa wanawake kingono

HABARI KUU BBC World Service wamegundundua madudu ya nabii Joshua. TB Joshua ahusishwa na skendo nzito ya unyanysaji, ubakaji, kuwapa mimba na kuwatoa mimba kinguvu wafuasi wake, vipigo na kutengeneza miujiza feki na shuhuda za uongo za uponyaji ili kuhadaa umma kwa miaka mingi BBC Africa Eye ndio imeachia uchunguzi huo maalum, documentary ya zaidi… Continue reading TB Joshua na sakata la kuwanyanyasa wanawake kingono

Key points of contention between Mauricio Pochettino and Chelsea which led to him leaving the club

ANALYSIS ● The head coach’s willingness to fit in with the club-imposed structure● Initial scepticism over the £221.7m ($282m) midfield pairing of Moises Caicedo and Enzo Fernandez● The owners’ desire for a coach who ‘teaches’ football● Training methods and the club’s injury record● Pochettino’s sense that he was one of the few experienced operators in… Continue reading Key points of contention between Mauricio Pochettino and Chelsea which led to him leaving the club

Manchester United na Bayern Munich zaingia vitani

MICHEZO Saa chache baada ya Klabu ya Chelsea kutangaza kuachana na Mauricio Pochettino, Klabu za Manchester United na Bayern Munich zimeanza kuhusishwa na mpango wa kumuajiri Kocha huyo kutoka nchini Argentina. Chelsea imetangaza kusitisha Mkataba wa miaka miwili wa Kocha huyo, baada ya kufanya mazungumzo kwa kina na pande zote mbili kukubaliana kuvunjwa kwa Mkataba… Continue reading Manchester United na Bayern Munich zaingia vitani

Makocha wanaohusishwa kumrithi Mauricio Pochettino Chelsea

MICHEZO Majina ya Makocha Thomas Frank wa Brentford na Vincent Kompany wa Burnley yamekuwa ya kwanza kutajwa katika mpango wa kurithi nafasi ya Mauricio Pochettino huko Chelsea. Uongozi wa Klabu ya Chelsea umetangaza kuachana na Kocha Mauricio Roberto Pochettino Trossero kwa makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja Mkataba ambao ulisainiwa mapema msimu wa 2023/24.… Continue reading Makocha wanaohusishwa kumrithi Mauricio Pochettino Chelsea

CHELSEA YAACHANA NA MAURICIO POCHETTINO

MICHEZO Uongozi wa Klabu ya Chelsea umetangaza kuachana na Kocha Mauricio Roberto Pochettino Trossero kwa makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja Mkataba ambao ulisainiwa mapema msimu wa 2023/24. Kocha huyo alisaini mkataba wa miaka miwili, hivyo sehemu ya mwaka mmoja katika Mkataba wake ndio imevunjwa kwa makubaliano maalum yaliyofikia kati yake na Uongozi wa… Continue reading CHELSEA YAACHANA NA MAURICIO POCHETTINO

Sean Combs “Diddy ” afunguliwa kesi ya unyanyasaji wa kingono

NYOTA WETU Rapa Sean Combs maarufu kama Diddy, anakabiliwa na kesi nyingine iliyofunguliwa na mwanamitindo wa zamani Crystal McKinney, mshindi wa zamani wa MTV’s 1998 ( Model Mission competition) , kesi iliyowasilishwa Jumanne katika mahakama ya shirikisho huko New York City. Kwa mujibu wa TMZ, Mwanamke huyo anadai kuwa rapa huyo alimshawishi kwa ahadi za… Continue reading Sean Combs “Diddy ” afunguliwa kesi ya unyanyasaji wa kingono

Profesa RWEKAZA MUKANDALA AFUNGUKA MAZITO YA MV BUKOBA

HABARI KUU Profesa Rwekaza Mukandala amesema kuzama kwa Mv. Bukoba kulitokana na sababu kadhaa, kubwa ikiwa ni meli kukosa ustahimilivu na kulala upande mmoja na kisha kuzama. Profesa Mukandala amesema hayo leo katika mhadhara wa uprofesa uliyofanyika katika Ukumbi wa Nkurumah uliopo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwenye mafunzo ya kutoka katika kujifungua kwa… Continue reading Profesa RWEKAZA MUKANDALA AFUNGUKA MAZITO YA MV BUKOBA

Actress Toyin Abraham lovingly caresses her husband Kolawole’s neck in a romantic video shared online

CELEBRITIES Toyin Abraham, the renowned Nollywood star, has once again captured the hearts of her fans with a new social media post showcasing a touching moment with her husband, Kolawole Ajeyemi. In a touching video that will make singles long for their own love story, the celebrity duo openly displayed their love at Toyin’s latest… Continue reading Actress Toyin Abraham lovingly caresses her husband Kolawole’s neck in a romantic video shared online

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner