BENKI KUU YA TANZANIA IMEPIGA MARUFUKU KUWEKA PESA SEHEMU ZA SIRI

HABARI KUU BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imeonya watu ambao wamekuwa na tabia ya kuhifadhi fedha kwenye maziwa, soksi, chini ya magunia na kufunga fundo kwenye kanga, ikisisitiza kunafedhehesha fedha ya Tanzania. Pia imepiga marufuku fedha kuhifadhiwa sehemu za siri pamoja na kutengenezwa mataji kwenye sherehe, atakayebainika atachukuliwa hatua za kisheria kwa kuwa vitendo hivyo… Continue reading BENKI KUU YA TANZANIA IMEPIGA MARUFUKU KUWEKA PESA SEHEMU ZA SIRI

SIMBA YAKUBALI KICHAPO MBELE YA AL AHLY

MICHEZO Wekundu wa Msimbazi Simba SC imekubali kipigo cha 1-0 nyumbani dhidi ya Al Ahly ya Misri kwenye mchezo wa mkondo wa kwanza ligi ya mabingwa Afrika Kipigo hicho kimetengeneza mlima wa kupanda kwa Simba SC kuelekea mchezo wa marudiano utakaopigwa Cairo Mechi tano zilizopita kati ya Al Ahly na Simba. Ligi ya Soka ya… Continue reading SIMBA YAKUBALI KICHAPO MBELE YA AL AHLY

CAFCL ROBO FAINALI:YANGA VS MAMELODI,SIMBA VS AL AHLY

MICHEZO Klabu ya Yanga SC itakutana na Klabu ya Mamelodi Sundowns kutoka Afrika Kusini kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika Katika Droo iliyochezeshwa leo, Mtani wa Jadi wa Yanga, Klabu ya Simba SC imepangiwa kuvaana na Klabu ya Al Ahly FC kutoka Misri Aidha, Klabu ya TP Mazembe itakutana na Klabu ya… Continue reading CAFCL ROBO FAINALI:YANGA VS MAMELODI,SIMBA VS AL AHLY

WAFAHAMU WAAMUZI WA YANGA NA AL AHLY

MICHEZO Mechi kati ya Al Ahly na Young Africans itachezeshwa na Refa Djindo Houngnandande kutoka Benin, wakati mchezo wa Simba SC na Jwaneng Galaxy utakuwa chini ya usimamizi wa Refa Daniel Nii Laryea kutoka Ghana. Refa Houngnandande kutoka Benin anakumbukwa na Young Africans kwa kuchezesha mechi yao ya ugenini kwenye Kombe la Shirikisho Barani Afrika… Continue reading WAFAHAMU WAAMUZI WA YANGA NA AL AHLY

AL AHLY KUIBEBA YANGA LEO USIKU?

MICHEZO Yanga inaweza kuwa kwenye nafasi nzuri ya kufuzu robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika endapo Al Ahly itaifunga CR BELOUZIDAD ya Algeria leo Februari 16,2024 . Mchezo huo utapigwa kwenye ardhi ya Algeria mnamo saa 4:00 usiku kwa saa za Afrika Mashariki kwenye dimba la Julai 5.1962 jijini Algers, Algeria. Ushindi wa Al… Continue reading AL AHLY KUIBEBA YANGA LEO USIKU?