ALIOU CISSÉ KOCHA MKUU SENEGAL 2026

MICHEZO Kocha wa timu ya Taifa ya kandanda ya Senegal, Aliou Cissé, ameteuliwa tena kuwa Kocha Mkuu hadi mwaka wa 2026, lilitangaza Shirikisho la soka la Senegal (FSF) katika video iliyochapishwa Ijumaa Machi 8. Kamati ya utendaji imeonyesha imani tena kwa kocha Aliou Cissé na inamtaka aendelee na kazi yake, malengo ikiwa ni kufuzu kwa… Continue reading ALIOU CISSÉ KOCHA MKUU SENEGAL 2026

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner