USAFIRI KWENDA KIGAMBONI WASIMAMISHWA KWA MUDA

HABARI KUU Watumiaji wa kivuko cha Magogoni MV Kigamboni na wananchi kwa ujumla wanaarifiwa kuwa Kivuko MV. KIGAMBONI kinachotoa huduma eneo hilo, kitasimama kutoa huduma kuanzia alfajiri ya siku ya Ijumaa Tarehe 07 Juni, 2024. Taarifa ya Wakala wa Ufundi na Umeme Tanzania (TEMESA) imebainisha kuwa Kivuko hicho kinasimama kutoa huduma kwa ajili ya kwenda… Continue reading USAFIRI KWENDA KIGAMBONI WASIMAMISHWA KWA MUDA

HOW TO HELP A DRUNKARD HUSBAND

HELP, MY HUSBAND IS A DRUNKARD She opened the fridge and took out a cold Tusker and a bottle full of Johnnie Walker. She walked from the kitchen to the living room where her husband was sitting on the sofa, watching a late night movie. The children were asleep. She placed the Tusker and the… Continue reading HOW TO HELP A DRUNKARD HUSBAND

TANZANIA YAZINDUA MAGARI YA UMEME

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amezindua magari yanayotumia mfumo wa umeme ikiwa ni jitihada za Serikali za kuwezesha wananchi kutumia nishati safi nchini. Uzinduzi wa magari hayo umefanyika leo Mei 30, 2024 jijini Dodoma sanjari na uzinduzi wa Ofisi za Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) pamoja… Continue reading TANZANIA YAZINDUA MAGARI YA UMEME

SAKATA LA PAULINE GEKUL LACHUKUA SURA MPYA

HABARI KUU Mahakama kuu kanda ya Manyara imefutilia mbali rufaa ya Hashimu Ally dhidi ya Mbunge wa jimbo la Babati Mjini Pauline Gekul kwa sababu Rufaa hiyo haikuwa na mashiko mbele ya mahakama hiyo Maamuzi hayo yametolewa na Jaji wa mahakama kuu kanda ya Manyara Devotha Kamzola huku akiwataka warufani kukata rufaa kama hawajaridhika na… Continue reading SAKATA LA PAULINE GEKUL LACHUKUA SURA MPYA

WANAFUNZI WA GHATI MEMORIAL 7 WAOFIA KUFARIKI ARUSHA

HABARI KUU Diwani wa Kata ya Sinoni, Michael Kivuyo amesema Wananchi wakishirikiana na Kikosi cha Uokozi wanashiriki zoezi la kutafuta Wanafunzi 7 ambao hawajulikani walipo baada ya Gari la Shule ya Ghati Memorial kuanguka kwenye korongo, Asubuhi ya leo Aprili 12, 2024 Amesema “Waliokuwa kwenye gari ni Wanafunzi 11, Dereva na Matroni. Wanafunzi Watatu, Dereva… Continue reading WANAFUNZI WA GHATI MEMORIAL 7 WAOFIA KUFARIKI ARUSHA

VIDEO YA NGONO YA ASLAY ILIOVUJA HII HAPA

NYOTA WETU Dunia imebadilika sana, wakati Mange Kimambi anatangaza kuja na connection za wasanii haikuwa rahisi kudhani kama Aslay angeingia kwenye huu mkenge wa aibu kwasababu wengi wa mashabiki zake waliamini anajitambua, anajielewa, ni msanii mwenye heshima zake ambaye angeweza kuficha faragha zake. Lakini haijawa hivyo, mambo ya faragha kayaweka hadharani watu wameanza kumfturu yeye… Continue reading VIDEO YA NGONO YA ASLAY ILIOVUJA HII HAPA

WANAJESHI WATATU WA TANZANIA WAUAWA KWENYE MAPIGANO DRC

HABARI KUU Wanajeshi watatu wa Tanzania wanaohudumu katika kikosi cha kulinda amani cha Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) wameuawa kwenye shambulio la kombora Mashariki mwa DR Congo na wengine watatu kujeruhiwa. Taarifa ya SADC haijaeleza ni wapi, lini au nani aliyehusika na shambulio hilo.

AFTER RAMADAN WE WILL BE ON YOUR NECK

OUR STAR 🌟 “After Ramadan we will be on your neck” – Naira Marley hints at new song:::::: The supposedly cancelled singer, Naira Marley hints at a new song release with his signee, Zinoleesky set to be released after the holy month of Ramadan. The singer who is faced with a series of backlashes over… Continue reading AFTER RAMADAN WE WILL BE ON YOUR NECK

SPIKA WA BUNGE ATOA YA MOYONI KUHUSU YANGA KUDHURUMIWA GOLI

HABARI KUU “Mimi niliona ni goli” Akizungumza na Idhaa ya Taifa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt . Tulia Akson Mwansasu ametoa maoni yake kuhusu goli lililofungwa na Yanga. “Niseme kama Mtanzania ningetaraji timu zetu zingesonga zaidi ila wamejitahidi kwa kweli kufika robo fainali timu mbili kutoka nchi moja sio jambo… Continue reading SPIKA WA BUNGE ATOA YA MOYONI KUHUSU YANGA KUDHURUMIWA GOLI

HISTORIA YA MAISHA YA MSANII BEN POL

NYOTA WETU Alianza kuimba tangu akiwa shule wakati anasoma sekondani ndipo akajiunga na Tanzania House of Talents (THT) ila alitoka kimuziki chini ya M Lab (Music Laboratory) na sasa ni miongoni mwa waimbaji wakali wa RnB Bongo. Ben Pol ametoa albamu mbili, EP moja, ameshinda Tuzo za Muziki Tanzania kwa miaka mitatu mfululizo, amefanya kolabo… Continue reading HISTORIA YA MAISHA YA MSANII BEN POL

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner