EBUKA OBI-UCHENDU ANNOUNCES NEW TWIST AS AUDITIONS FOR BIG BROTHER NAIJA SEASON 9

OUR STAR 🌟 Popular reality TV host, Ebuka Obi-Uchendu has announced an exciting new twist for the Big Brother Naija Season 9 audition process. Multichoice, the organizers of the popular reality TV show Big Brother Naija (BBNaija), had earlier unveiled plans for its highly anticipated 9th season. Ebuka Obi-Uchendu hosting Big Brother Naija “All Stars”… Continue reading EBUKA OBI-UCHENDU ANNOUNCES NEW TWIST AS AUDITIONS FOR BIG BROTHER NAIJA SEASON 9

Polisi wa Argentina wanachunguza vitisho vya kifo vilivyotolewa kwa familia ya mshambuliaji Angel Di Maria nyumbani kwao Roasario.

Wafanyakazi kwenye nyumba ya staa huyo mshindi wa Kombe la Dunia na Argentina mwaka 2022, walisema walikutana na ujumbe uliokuwa na vitisho vya vifo kama ataendelea kucheza kwenye moja ya klabu katika mji wa Rosario. Winga huyo mwenye umri wa miaka 36 anayecheza Benfica ya Ureno hivi karibuni alisema anaweza kurejea kucheza kwenye klabu yake… Continue reading Polisi wa Argentina wanachunguza vitisho vya kifo vilivyotolewa kwa familia ya mshambuliaji Angel Di Maria nyumbani kwao Roasario.

Rais wa Nigeria Bola Tinubu amepiga marufuku safari zote za Nje za Viongozi kwa muda wa miezi mitatu kuanzia Aprili 1, 2024, lengo likitajwa kuwa ni mpango wa kubana na kupunguza Matumizi ya Serikali yasiyo na ulazima.

Hatua ya Rais inafuatia uwepo wa malalamiko ya Wananchi wanaodai Serikali imekuwa na matumizi makubwa ya Fedha za Walipa Kodi yasiyo na tija, zikiwemo Safari za Mfululizo za Viongozi akiwemo Rais aliyefanya safari 15 kwenda nje ya nchi tangu alipoapishwa Mei 29, 2023. Hii ni mara ya pili kwa Rais Tinubu kuchukua maamuzi ya kudhibiti… Continue reading Rais wa Nigeria Bola Tinubu amepiga marufuku safari zote za Nje za Viongozi kwa muda wa miezi mitatu kuanzia Aprili 1, 2024, lengo likitajwa kuwa ni mpango wa kubana na kupunguza Matumizi ya Serikali yasiyo na ulazima.

Mitandao ya Netblocks na CloudflareRadar inayohusika na ufuatiliaji wa Huduma za Intaneti na Usalama Mtandaoni imesema baadhi ya Nchi Barani Afrika zimepatwa na tatizo la kukatika kwa Huduma za Intaneti, sababu ikidaiwa ni kukatika kwa nyaya katika Mkongo wa Mawasiliano wa Baharini

Baadhi ya Nchi zilizoripoti kupata shida kwenye mawasiliano ni Tanzania, IvoryCoast ambayo imeripoti kushuka kwa ubora kwa Intaneti hadi 4%, Benin 14% na Ghana kwa 25% huku nchi nyingine zilizopata shida zikiwa ni Afrika Kusini, Nigeria, Liberia, na Burkina Faso

Nchini Tanzania, Mtandao wa Vodacom umekiri kutokea kwa tatizo lililoathiri huduma za M-PESA, Kupiga na Kupokea Simu. Pia, Serikali za Nigeria na Liberia zimesema zimebaini uwepo wa tatizo la Intaneti.

14 CONDITIONS ON A SILENT SEX STRUGGLES OF A MARRIED PEOPLEimg

LOVE ❤ 1. A SPOUSE WHO WANTS TOO MUCH SEXSome are married to a spouse (often times the husband) who wants sex regularly. This can easily make one feel used. Usually in such situations, the emotional connection is also weak. Address this by learning to do other things as a couple that don’t involve sex… Continue reading 14 CONDITIONS ON A SILENT SEX STRUGGLES OF A MARRIED PEOPLEimg

ELON MUSK KUWALIPA WAFANYAKAZI WA TWITTER

HABARI KUU Watendaji Wakuu wa Mtandao wa X (zamani Twitter) ambao walifukuzwa kazi baada ya Elon Musk kuununua Mtandao huo, wamefungua Kesi ya madai wakimtaka Bosi huyo mpya kuwalipa zaidi ya Tsh. Bilioni 326 kwa kuwaondoa kazini kikatili. Kesi hiyo imefunguliwa katika Mahakama ya Wilaya ya San Francisco walalamikaji wakiwa ni aliyekuwa Mtendaji Mkuu wa… Continue reading ELON MUSK KUWALIPA WAFANYAKAZI WA TWITTER

JEFF BEZOS MTU TAJIRI ZAIDI DUNIANI AMBWAGA MUSK

MAKALA BILIONEA Jeff Bezos amerejea kwenye usukani wa ukwasi Duniani baada ya kuchukua nafasi ya kwanza katika orodha ya matajiri duniani akimpita Elon Musk. Bosi huyo wa Amazon ana utajiri wa Dola bilioni 200, akifuatiwa na Musk kwenye ukwasi wa Dola bilioni 198. Kwa mujibu wa ripoti ya Bloomberg, Musk alipoteza takriban Dola bilioni 31… Continue reading JEFF BEZOS MTU TAJIRI ZAIDI DUNIANI AMBWAGA MUSK

AKILI BANDIA NI HATARI KWA UBINADAMU

NYOTA WETU. Mmiliki wa mtandao wa X,SpaceX, na Tesla Elon Musk ameonekana kuonyesha wasiw.asi wake juu ya matumizi ya Akili Bandia (Artifical Intelligence (AI)) . Mapema mwaka huu Musk alionya kuwa teknolojia hiyo inaweza kuleta uharibifu wa ustaarabu. Bilionea huyo yuko nchini Uingereza kwenye mkutano mkubwa wa AI uliokutanisha mabosi wa teknolojia na Viongozi kutoka… Continue reading AKILI BANDIA NI HATARI KWA UBINADAMU

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner