Dalili za Mimba ya Mtoto wa Kiume

AFYA Kumekuwa na imani nyingi kuhusu dalili za mimba ya mtoto wa kiume katika mimba Changa na kina mama wengi wajawazito wanakuwa na shauku kubwa kujua jinsia za watoto wao waliopo tumboni mapema kabla ya kujifungua. Mojawapo ya imani hizo ni kama; 4.Mama mwenye mtoto wa kiume tumboni hupendelea kula vyakula vichungu kama ukwaju,Ndimu mbichi… Continue reading Dalili za Mimba ya Mtoto wa Kiume

How to handle your wife during her monthly periods

DEBUNKING MYTHS ABOUT SEX

QUALIFICATIONS OF A REAL MAN

9 ADVICES OF A REAL MAN A man who can control his sexual urge is a man who can live many years on earth. Men don’t know that some of their failures are caused by multiple girlfriends Not all girls have good spirit. Some are demons, others have venom between their legs.Some women are destiny… Continue reading QUALIFICATIONS OF A REAL MAN

Following the termination of Davido’s label, DMW’s partnership with Solana, Wizkid publicly criticized Davido partnership’s swift dissolution and subsequent decline in Solana’s value within 24 hours prompted Wizkid’s negative comments.

Renowned Nigerian musician Wizkid has taken to social media to express his disapproval of his colleague Davido, following the sudden conclusion of Davido’s collaboration with the cryptocurrency Solana, which was cut short due to a decrease in its market value. Wizkid, publicly criticized his rival Davido on various social media platforms after Davido’s partnership with… Continue reading Following the termination of Davido’s label, DMW’s partnership with Solana, Wizkid publicly criticized Davido partnership’s swift dissolution and subsequent decline in Solana’s value within 24 hours prompted Wizkid’s negative comments.

MWILI WA MKUU WA MAJESHI KENYA KUZIKWA NDANI YA MASAA 72

HABARI KUU Mwili wa Mkuu wa Majeshi Nchini Kenya, (CDF) Jenerali Francis Ogolla aliyefariki katika ajali ya Helikopta siku ya Alhamisi eneo la Sindar katika Kaunti ya Elgeyo Marakwet Nchini humo utazikwa nyumbani kwa familia yake huko Alego Usonga, Kaunti ya Siaya siku ya Jumapili, Aprili 21, 2024. Mwanafamilia alifichua kuwa marehemu Jenerali Ogolla alikuwa… Continue reading MWILI WA MKUU WA MAJESHI KENYA KUZIKWA NDANI YA MASAA 72

WANAFUNZI WA GHATI MEMORIAL 7 WAOFIA KUFARIKI ARUSHA

HABARI KUU Diwani wa Kata ya Sinoni, Michael Kivuyo amesema Wananchi wakishirikiana na Kikosi cha Uokozi wanashiriki zoezi la kutafuta Wanafunzi 7 ambao hawajulikani walipo baada ya Gari la Shule ya Ghati Memorial kuanguka kwenye korongo, Asubuhi ya leo Aprili 12, 2024 Amesema “Waliokuwa kwenye gari ni Wanafunzi 11, Dereva na Matroni. Wanafunzi Watatu, Dereva… Continue reading WANAFUNZI WA GHATI MEMORIAL 7 WAOFIA KUFARIKI ARUSHA

INI EDO FROWNS AT NOLLYWOOD’S SYSTEM AS SHE MOURNS THE PASSING OF JUNIOR POPE

CELEBRITIES Veteran Nigerian actress, Ini Edo has frowned at the lack of regulatory structures in Nollywood following the passing of her colleague, Junior Pope. Nigerians were plunged into a state of mourning after learning about the death of Junior Pope despite multiple efforts to rescue him following a drowning incident. Ini Edo has now spoken… Continue reading INI EDO FROWNS AT NOLLYWOOD’S SYSTEM AS SHE MOURNS THE PASSING OF JUNIOR POPE

MFAHAMU MWAMUZI WA MECHI YA MAMELODI SUNDOWNS NA YANGA

NYOTA WETU Mchezo wa marudiano wa hatua ya Robo Fainali Ligi ya Mabingwa Barani Afrika baina ya Mamelodi Sundowns na Young Africans utakaochezwa kesho Ijumaa (Aprili 05), Pretoria, Afrika Kusini utachezeshwa na Beida Dahane kutoka Mauritania mwenye historia nzuri na Young Africans. Refa huyo mwenye umri wa miaka 32 ndiye alichezesha mechi ya Mkondo wa… Continue reading MFAHAMU MWAMUZI WA MECHI YA MAMELODI SUNDOWNS NA YANGA

PRINCE DUBE AWASHITAKI AZAM FC SHIRIKISHO LA MPIRA NCHINI TFF

MICHEZO Taarifa za uhakika ambazo zimetufikia zinasema kuwa mshambuliaji wa Azam FC aliyeaga klabuni hapo Prince Mpumelelo Dube ameamua kuwashitaki Azam FC kwa shirikisho la mpira nchini TFF. Taarifa hizo zinaeleza kuwa mshambuliaji huyo ameukana mkataba ambao Azam FC wanasema aliusaini na unaisha mwezi Juni 2026. Mshambuliaji huyo ametinga TFF na mkataba ambao anasema ni… Continue reading PRINCE DUBE AWASHITAKI AZAM FC SHIRIKISHO LA MPIRA NCHINI TFF

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner