HABARI KUU Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa CCM Taifa, Paul Makonda, amewataka wale aliowaita Wanasiasa uchwara wanaojipendekeza kwa Rais Samia kwa kumtenganisha na Mtangulizi wake Hayati Dkt. John Pombe Magufuli kuacha mara moja tabia hiyo kwakuwa Viongozi hao wote ni kitu kimoja na hauwezi kuwatenganisha. Akiongea Jijini Dar es salaam leo wakati… Continue reading PAUL MAKONDA AMTETEA MAGUFULI