Polisi wa Argentina wanachunguza vitisho vya kifo vilivyotolewa kwa familia ya mshambuliaji Angel Di Maria nyumbani kwao Roasario.

Wafanyakazi kwenye nyumba ya staa huyo mshindi wa Kombe la Dunia na Argentina mwaka 2022, walisema walikutana na ujumbe uliokuwa na vitisho vya vifo kama ataendelea kucheza kwenye moja ya klabu katika mji wa Rosario. Winga huyo mwenye umri wa miaka 36 anayecheza Benfica ya Ureno hivi karibuni alisema anaweza kurejea kucheza kwenye klabu yake… Continue reading Polisi wa Argentina wanachunguza vitisho vya kifo vilivyotolewa kwa familia ya mshambuliaji Angel Di Maria nyumbani kwao Roasario.

IGNORE THE RUMOURS ZACK ORJI IS ALIVE

OUR STAR 🌟 Nollywood veteran actor, Zack Orji is alive! Any other news than this is just a rumour. In fact the President of the Actors’ Guild of Nigeria, AGN, Emeka Rollas, has also debunked the evil news which circulated this morning on social media. In an Instagram post less than an hour ago, Rollas… Continue reading IGNORE THE RUMOURS ZACK ORJI IS ALIVE

ALIYEMUUA MKE WAKE KILOSA AKIRI KOSA

HABARI KUU Mohamed Omary, mkazi wa wilaya ya Kilosa mkoani Morogoro anayedaiwa kumuua mke wake na kumzika ndani ya nyumba walimokuwa wakiishi amefikishwa katika Mahakama Kuu ya Tanzania Kituo Jumuishi cha Utoaji Haki Morogoro na kusomewa mashtaka manne. Mashtaka hayo ni mauaji, udhalilishaji na ukatili anaodaiwa pia kuufanya kwa watoto wawili wa marehemu wenye umri… Continue reading ALIYEMUUA MKE WAKE KILOSA AKIRI KOSA

THE 28 LAWS OF LOVE

LOVE ❤ 1. If you want to be hugged; keep foul smells off, take showers, wear nice perfumes or colognes 2. If you want to be trusted; keep secrets shared with you, don’t judge 3. If you want to be sexed by your spouse; stay sexy and faithful 4. If you want to be listened… Continue reading THE 28 LAWS OF LOVE

UFAFANUZI WA ULINZI WA KIONGOZI WA KOREA KASKAZINI KIM JONG UN “KIDUKU”

MAKALA Kama inavyofahamika dhahiri kuwa ni vigumu kwa mwanga wa mshumaa kudumu katikati ya upepo wa kimbunga unaoangusha maghorofa; vivyo hivyo ni vigumu hata kwa ‘inzi’ mwenye nia ovu kumsogelea Kiongozi wa Korea Kaskazini, Kim Jong-un. Huyu ni kiongozi ambaye vyombo vya habari vya Magharibi vimekuwa vikimuelezea kwa namna ambayo imetofautiana sana na mtazamo wa… Continue reading UFAFANUZI WA ULINZI WA KIONGOZI WA KOREA KASKAZINI KIM JONG UN “KIDUKU”

CHRISTOPH BAUMGARTNER AWEKA REKODI HII

NYOTA WETU Kiungo Christoph Baumgartner wa Austria jana alifunga bao ndani ya sekunde 6 za mechi na kuvunja rekodi ya bao lililofungwa kwa haraka zaidi katika soka la Kimataifa. Baumgartner (24) anayeichezea RB Leipzig ya Ujerumani pamoja na timu ya taifa ya Austria aliifunga bao hilo wakati wa mechi ya kirafiki kati ya Austria na… Continue reading CHRISTOPH BAUMGARTNER AWEKA REKODI HII

BEYONCE APATA PIGO LA MWAKA

NYOTA WETU. Nyumba ya utotoni ya Beyonce iliopo eneo la Third Ward huko Houston ,iliwaka moto leo jumatatu Desemba 25,2023 majira ya saa 2 asubuhi. Beyonce Knowles Wakati nyumba imeshika moto ambao ulikuwa unaenda kusambaa nyumba nzima na kusababisha hasara kubwa,waokoaji waliweza kuukabili moto na kufanikiwa kuuzima. Pamoja na tukio hilo kutokea ni kwamba familia… Continue reading BEYONCE APATA PIGO LA MWAKA

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner