SABABU ZA BENKI YA BIASHARA YA ETHIOPIA KUPOTEZA PESA

HABARI KUU Benki kubwa kuliko zote nchini Ethiopia imeendelea na mchakato wa kujaribu kurudisha pesa zote zilizotolewa baada ya kupatwa na hitilafu ya kiufundi. Benki ya biashara ya Ethiopia (CBE) imeripotiwa kupoteza takribani pauni milioni 32 baada ya wateja kujitolea pesa nyingi kuliko walizokuwa nazo kwenye akaunti zao. Taarifa za hitilafu hiyo zilisambazwa katika mitandao… Continue reading SABABU ZA BENKI YA BIASHARA YA ETHIOPIA KUPOTEZA PESA

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner