My scene with Eucharia Anunobi in Glamour Girls affected my marriage – Zack Orji

Veteran actor, Zack Orji has narrated how a scene with Eucharia Anunobi in the classic Nollywood movie “Glamour Girls” affected his marriage My scene with Eucharia Anunobi in Glamour Girls affected my marriage – Zack OrjiSpeaking on the set of “Legend’s Untold Story” with Labista, Orji revealed how the scene impacted his personal life and… Continue reading My scene with Eucharia Anunobi in Glamour Girls affected my marriage – Zack Orji

KIKWETE NA MUSEVENI WATETA

HABARI KUU Rais wa zamani wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete amemtembelea Rais wa Uganda, Yoweri Kaguta Museveni, Ikulu ya Entebbe ambapo wawili hao wamejadili kuhusu fursa za soko la umoja la Afrika Mashariki. Museveni alimkaribisha Dkt. Kikwete na kumueleza kuwa kama viongozi hawana budi kutatua tatizo la soko hilo ili… Continue reading KIKWETE NA MUSEVENI WATETA

KOCHA MIGUEL GAMONDI ATAJA ORODHA YA WACHEZAJI WATAKAOACHWA YOUNG AFRICANS

MICHEZO Taarifa kutoka ndani Young Africans ni kwamba kocha mkuu wa timu hiyo, Miguel Gamondi kawasilisha mapema ripoti kwa mabosi wa klabu hiyo ikiwa ni mikakati ya kuanza kukisuka upya kikosi cha msimu ujao. Hesabu za Gamondi zimeonyesha kuhitaji kuongeza kipa mmoja atakayechukua moja ya nafasi ya makipa watatu waliopo sasa akiwamo Djigui Diarra, Metacha… Continue reading KOCHA MIGUEL GAMONDI ATAJA ORODHA YA WACHEZAJI WATAKAOACHWA YOUNG AFRICANS

YANGA YAICHAPA SINGIDA IKIIPA SIMBA MASWALI MAGUMU

MICHEZO Ikicheza mchezo wake wa 21, Yanga imepata ushindi wa magoli 3-0 dhidi ya Singida Fountain Gate katika mchezo wa Ligi Kuu Bara kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza Magoli yamefungwa na Joseph Guede mawili na Stephene Aziz Ki, hivyo Yanga imefikisha pointi 55, ikiongoza kwa tofauti ya pointi 8 dhidi ya Azam FC inayofuatia… Continue reading YANGA YAICHAPA SINGIDA IKIIPA SIMBA MASWALI MAGUMU

YOUNG AFRICANS YAMUONYA WAKALA WA MAYELE

MICHEZO Klabu ya Yanga imemwandikia barua ya onyo wakala anaemsimamia Fiston mayele kuwa Mteja wake amekuwa akitumia maneno ya kuichafua brand ya Yanga SC na endapo akiendelea atafunguliwa mashtaka. Mwanamama Jasmine Razack anawasimamia wachezaji kadhaa waliopo na waliopita Yanga ; ◉ Fiston Mayele◉ Feisal Salum◉ Ibrahim Bacca◉ Clement Mzize

KILICHOMUONDOA JAMHURI KIHWELO SINGIDA FOUNTAIN GATE HIKI HAPA

MICHEZO Kocha mkuu wa klabu ya Singida Fontaine Gate Fc, Jamhuri Kihwelo ‘Julio’ ametupilia mbali taarifa zinazosambaa kwenye mitandao ya kijamii kuwa ametimka klabuni hapo baada kuiongoza kwa mechi mbili tu tangu apewe kibarua cha kuiongoza klabu hiyo kwenye mechi 10 zilizosalia za Ligi. Akizungumza juu ya taarifa hizo Julio amesema hafahamu chochote kuhusu taarifa… Continue reading KILICHOMUONDOA JAMHURI KIHWELO SINGIDA FOUNTAIN GATE HIKI HAPA

FISTON MAYELE AFUNGUKA MAZITO BAADA YA KUONDOKA TANZANIA

NYOTA WETU Mshambuliaji wa Pyramids FC ya Misri, Fiston Mayele akifanya mahojiano na kituo cha habari cha Azam, ameeleza kuwa kocha aliyemkuta ndani ya kikosi cha Pyramids wakati anatokea Yanga Sc alitaka kumtoa kwa mkopo Disemba 2023 lakini Rais wa Klabu hiyo alizuia jambo hilo na kumuondosha kocha huyo. “Wakati nakuja Pyramids kocha niliyemkuta alikuwa… Continue reading FISTON MAYELE AFUNGUKA MAZITO BAADA YA KUONDOKA TANZANIA

ASLAY JINSI ALIVYOGEUKA IFTAR USIKU WA JANA KWA CONNECTION YAKE

NYOTA WETU Dunia imebadilika sana, wakati Mange Kimambi anatangaza kuja na connection za wasanii haikuwa rahisi kudhani kama Aslay angeingia kwenye huu mkenge wa aibu kwasababu wengi wa mashabiki zake waliamini anajitambua, anajielewa, ni msanii mwenye heshima zake ambaye angeweza kuficha faragha zake. Lakini haijawa hivyo, mambo ya faragha kayaweka hadharani watu wameanza kumfturu yeye… Continue reading ASLAY JINSI ALIVYOGEUKA IFTAR USIKU WA JANA KWA CONNECTION YAKE

MBUNGE AIBUA MAZITO KINACHOENDELEA NGORONGORO

MAGAZETI Karibu Mtanzania popote pale ulipo kwenye asubuhi ya leo kwenye mbao za magazeti ya hivi leo popote pale ulipo kwenye Jamhuri yetu tukufu ya Tanzania.

FIFA YATEUA WAAMUZI WANNE KUTOKA CECAFA

MICHEZO FIFA imewateua waamuzi wanne kutoka baraza la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA) kuchezesha michezo ya Olimpiki Paris nchini Ufaransa 2024. Michezo ya Olimpiki ya Paris ya 2024 ambayo itashirikisha taaluma 32 za michezo ikiwemo kandanda itafanyika Julai 26 hadi Agosti 11 nchini Ufaransa. Waamuzi waliochaguliwa kutoka CECAFA ni pamoja na; Ismail… Continue reading FIFA YATEUA WAAMUZI WANNE KUTOKA CECAFA

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner