Watch a video of young boy kneeling respectfully approach famous singer ,Davido

CELEBRITIES Heartwarming video surfaced online, capturing the moment an endearing young boy stole the spotlight by kneeling to respectfully approach famous singer, Davido. (watch) The boy’s adorable gesture melted the hearts of viewers, demonstrating the profound affection and admiration expressed towards the popular musician. On social media, numerous users have expressed admiration for a young… Continue reading Watch a video of young boy kneeling respectfully approach famous singer ,Davido

Ayatollah Ali Khamenei azidiwa na huzuni akimuaga Ebrahim Raisi

HABARI KUU Kiongozi wa juu nchini Iran Ayatollah Ali Khamenei ameonekana kuzidiwa na huzuni na kuamua kuondoka baada ya kuongoza ibada ya sala ya kuaga miili ya aliyekuwa Rais wa taifa hilo Ebrahim Raisi na maafisa wengine waliokufa kwenye ajali ya helikopta, zoezi lililoshuhudiwa na maafisa wa ngazi za juu zaidi ya 40 kutoka mataifa… Continue reading Ayatollah Ali Khamenei azidiwa na huzuni akimuaga Ebrahim Raisi

Makocha wanaohusishwa kumrithi Mauricio Pochettino Chelsea

MICHEZO Majina ya Makocha Thomas Frank wa Brentford na Vincent Kompany wa Burnley yamekuwa ya kwanza kutajwa katika mpango wa kurithi nafasi ya Mauricio Pochettino huko Chelsea. Uongozi wa Klabu ya Chelsea umetangaza kuachana na Kocha Mauricio Roberto Pochettino Trossero kwa makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja Mkataba ambao ulisainiwa mapema msimu wa 2023/24.… Continue reading Makocha wanaohusishwa kumrithi Mauricio Pochettino Chelsea

SHUHUDIA SHUGHULI YA MAZISHI YA EBRAHIM RAISI KIONGOZI WA IRAN

HABARI KUU Raia wengi wa Iran wamejitokeza katika mji mkuu wa nchi hiyo Tehran, kushiriki katika mazishi ya kitaifa ya Rais Ebrahim Raisi. Rais huyo wa Iran akiwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa nchi hiyo Hossein Amir – Abdollahian pamoja na maafisa wengine sita wa ngazi ya juu, walifariki dunia baada ya helikopta… Continue reading SHUHUDIA SHUGHULI YA MAZISHI YA EBRAHIM RAISI KIONGOZI WA IRAN

CHELSEA YAACHANA NA MAURICIO POCHETTINO

MICHEZO Uongozi wa Klabu ya Chelsea umetangaza kuachana na Kocha Mauricio Roberto Pochettino Trossero kwa makubaliano ya pande zote mbili ya kuvunja Mkataba ambao ulisainiwa mapema msimu wa 2023/24. Kocha huyo alisaini mkataba wa miaka miwili, hivyo sehemu ya mwaka mmoja katika Mkataba wake ndio imevunjwa kwa makubaliano maalum yaliyofikia kati yake na Uongozi wa… Continue reading CHELSEA YAACHANA NA MAURICIO POCHETTINO

Sean Combs “Diddy ” afunguliwa kesi ya unyanyasaji wa kingono

NYOTA WETU Rapa Sean Combs maarufu kama Diddy, anakabiliwa na kesi nyingine iliyofunguliwa na mwanamitindo wa zamani Crystal McKinney, mshindi wa zamani wa MTV’s 1998 ( Model Mission competition) , kesi iliyowasilishwa Jumanne katika mahakama ya shirikisho huko New York City. Kwa mujibu wa TMZ, Mwanamke huyo anadai kuwa rapa huyo alimshawishi kwa ahadi za… Continue reading Sean Combs “Diddy ” afunguliwa kesi ya unyanyasaji wa kingono

Profesa RWEKAZA MUKANDALA AFUNGUKA MAZITO YA MV BUKOBA

HABARI KUU Profesa Rwekaza Mukandala amesema kuzama kwa Mv. Bukoba kulitokana na sababu kadhaa, kubwa ikiwa ni meli kukosa ustahimilivu na kulala upande mmoja na kisha kuzama. Profesa Mukandala amesema hayo leo katika mhadhara wa uprofesa uliyofanyika katika Ukumbi wa Nkurumah uliopo Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kwenye mafunzo ya kutoka katika kujifungua kwa… Continue reading Profesa RWEKAZA MUKANDALA AFUNGUKA MAZITO YA MV BUKOBA

Tems’ electrifying performance on”Fallon Tonight Show” captivated viewers, leaving them mesmerised by her exceptional stage presence

CELEBRITIES Nigerian music sensation Tems, whose stage name is Tems, has captivated audiences yet again with her mesmerizing dance performance on stage. Tems, known for her hits songs recently appeared on “The Tonight Show,” a late-night talk show hosted by Jimmy Fallon on NBC. Jimmy Fallon’s popular talk show typically features guests who share their… Continue reading Tems’ electrifying performance on”Fallon Tonight Show” captivated viewers, leaving them mesmerised by her exceptional stage presence

Saga says he’s married to Liquorose

CELEBRITIES Former BBNaija star, Saga has claimed he is married to fellow reality TV star, Liquorose. Well, in his dreams, lol. On a red carpet interview with Timi Agbaje, Saga was asked about his past relationship with Nini, to which he responded with a laugh, indicating he had moved on. When questioned about his current… Continue reading Saga says he’s married to Liquorose

Burna Boy goes into MOVIE PRODUCTION

CELEBRITIES Grammy-winning singer, Damini Ogulu, aka Burna Boy is about to be a movie producer! Burna has now joined the movie industry — Nollywood as a movie producer. He will be making his debut as an executive producer in Black Mic Mac’s upcoming movie ‘3 Cold Dishes.’ He will be executively producing the movie through… Continue reading Burna Boy goes into MOVIE PRODUCTION

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner