DART KUPATA MWEKEZAJI MPYA

HABARI KUU Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa – TAMISEMI, Mohammed Mchengerwa ameielekeza Wakala wa Mabasi yaendayo haraka – DART, kufikia mwezi Oktoba 2024 iwe imempata mwekezaji binafsi ambaye ni mtoa huduma wa mabasi hayo ili kuleta ufanisi. Mchengerwa ametoa maelekezo hayo wakati akiwasilisha Randama ya Bajeti ya… Continue reading DART KUPATA MWEKEZAJI MPYA

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner