LOVE ❤
Tag: #drc #eac
WAKONGOMANI WALITAKA JESHI LA AFRIKA MASHARIKI KUONDOKA
HABARI KUU Muungano wa vyama vya kiraia katika Jamhuri ya kidemokrasia ya Congo 🇨🇩 umefanya maandamano mjini Goma ukitaka kikosi cha pamoja cha Afrika Mashariki kuondoka Mashariki mwa nchi hiyo kutokana na kushindwa kukabiliana na waasi wa M23. Mwezi Novemba mwaka jana, Kenya 🇰🇪, Burundi 🇧🇮, Uganda 🇺🇬, na South Sudan 🇸🇸 zilituma wanajeshi wake… Continue reading WAKONGOMANI WALITAKA JESHI LA AFRIKA MASHARIKI KUONDOKA