BASSIROU DIOMAYE FAYE MBIONI KUWA RAIS MPYA WA SENEGAL

NYOTA WETU Kiongozi wa upinzani Bassirou Diomaye Faye ameibuka kuwa anayepewa nafasi kubwa ya kushinda uchaguzi wa urais nchini Senegal, baada ya wapinzani kadhaa kukubali kushindwa. Mamilioni ya watu walishiriki katika upigaji kura siku ya Jumapili, kufuatia miaka mitatu ya misukosuko na maandamano ya upinzani dhidi ya Rais aliyemaliza muda wake, Macky Sall. Wapiga kura… Continue reading BASSIROU DIOMAYE FAYE MBIONI KUWA RAIS MPYA WA SENEGAL

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner