KATUMBI APINGA USHINDI WA TSHISEKEDI

HABARI KUU. Upinzani nchini DRC umewasihi raia kushirikiana nao kupinga matokeo ya uchaguzi uliofanyika hivi karibuni kwa kile walichosema ni udanganyifu na dosari kubwa . Uchaguzi uliofanyika mwishoni mwa mwaka 2023 uliompa ushindi, Felix Tshisekedi Mulumba kuwa Rais wa nchi hiyo ya Mashariki mwa Afrika kwa mara ya pili mfululizo huku mpizani wake akiwa ni… Continue reading KATUMBI APINGA USHINDI WA TSHISEKEDI

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner