UTAWALA WA FAMILIA YA BONGO WAFIKIA TAMATI banner

Gabon Katika hali isio ya kutegemewa,majeshi ya Gabon yamefanikiwa kumwangusha Ali Odhimba Bongo Rais wa nchi hiyo ambaye ametawala tokea 2009 mpaka leo. ALI BONGO mtoto wa Kanali Omar Bongo ambaye aliitawala nchi hiyo toka uhuru mwaka 1967 mpaka alipofikwa na umauti mnamo mwaka 2009. “Tumevunja Bunge,Serikali na Mahakama. Hakuna mhimili wowote utakaofanya kazi kuanzia… Continue reading UTAWALA WA FAMILIA YA BONGO WAFIKIA TAMATI banner

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner