GABRIEL MAGALHAES APATA MAJERAHA TIMU YA TAIFA YA BRAZIL

MICHEZO Arsenal imetikiswa baada ya beki wake mahiri kabisa, Gabriel kujiondoa kwenye kikosi cha timu ya taifa ya Brazil baada ya kudaiwa anasumbuliwa na maumivu. Beki huyo wa kati alitarajia kuanza kwenye mechi ya Jumamosi (Machi 23) dhidi ya England itakayopigwa huko Wembley akiwa na kikosi cha Brazil maarufu kama Samba Boys. Hata hivyo, alifanya… Continue reading GABRIEL MAGALHAES APATA MAJERAHA TIMU YA TAIFA YA BRAZIL

Please disable your adblocker or whitelist this site!

         banner